Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Huyo muhuni alishanitukana matusi mabaya sana hana hadhi ya kujibishana nami.

Nilishamuweka kwenye ignore list, hata anachoandika sikioni na wala sihitaji kukiona.

Kama anaweza kuniomba radhi na kuahidi kutorudia matusi yake, labda naweza kufikiria kumtoa kwenye ignore list.

Natumaini hata wewe usingependa tuanze kujibishana matusi hapa.

Kwa kumuweka kwenye ignore list, naepusha matusi.

"Huyo muhuni" katika kiswahili ni "kiambishi cha sifa " au ni kutukana MTU kumwita "mhuni "
Kama yahusika na kutukana ni nini uhalali wako wa kutumia ignore list dhidi yake kwa kusema alikutukana ?
Au wewe unayo license ya kusema na kutukana ?
 
"Huyo muhuni" katika kiswahili ni "kiambishi cha sifa " au ni kutukana MTU kumwita "mhuni "
Kama yahusika na kutukana ni nini uhalali wako wa kutumia ignore list dhidi yake kwa kusema alikutukana ?
Au wewe unayo license ya kusema na kutukana ?

Kama hilo ni tusi kwako wewe au yeye mnayo haki ya kuniweka mimi katika ignore lists zenu.

Tatizo liko wapi?
 
Wewe unaona ignore list imeqekwa pale kama pambo, isitumiwe.

Mimi naona ina maana na itumiwe.


That's the difference between me and you.

Kumuweka mtu ignore list si kumnyima mtu uhuru wake wa kuropoka, in fact ni kumuongezea uhuru huo, kumfanya awe na uhuru huo bila ya kuingiliwa na maoni yako.

Sijasema kile kilicho tusi kwangu ni tusi kwa wote, ndiyo maana sijataka kumwambia admin ampige ban kwa wote, nimemuweka kwenye ignore list yangu tu. Know the difference.

Sihitaji validation yako kihusu nini ni udhaifu wangu na nini ni kipaji changu. Umetoa maoni yako, siyahitaji katika kujielewa mwenyewe.

Sina haja ya kuona hoja zake, ama kwa moja kwa moja ama kwa kupitia kwako. Not unless he apologizes and promise to not repeat his insults anyway.

I know we are fundamentally different.

And I respect that we are different.

Can you do the same?

Naheshimu tofauti zetu. Naheshimu pia imani yako ya "hakuna Mungu " sioni ni kwanini ulete hoja zako kutaka watu wakupe ushahidi ambao kutokana na tofauti zetu sio lazima uelewe sawa na Mimi.
Yaweza kuwa tofauti iko hata namna tunavyofikiri na kupambanua mambo
Yaweza kuwa Mimi Nina maono ambayo wewe huna kwa msingi huo ni vema nawe uheshimu wenzio wenye imani kinyume na wewe.
Mimi naamini kwamba Mungu yupo na sababu za kuamini hivyo nazikubali
Wewe unaamini kwamba mungu hayupo kwa sababu unazozikubali wewe basi kila mmoja na aishi na imani yake pasipo kujipandisha mabega kwamba imani yake ni bora kuliko ya mwingine.
Wewe unaogopa matusi kiasi kwamva hutaki hata hoja toka kichwa kitoacho uyaitayo matusi na wewe umekiri kwamba sio lazima yaliyo matusi kwako yawe matusi kwangu.
Kwa janja hiyo yawezakuwa hata hoja zinazokuonyesha madhaifu yako ya kufikiri ukawa hutaki kuziona maana ukiziona utatakiwa kuzijibu hivyo njia rahisi ni kutumia ignorelist....
Respect our difference with actions
God exists...
 
Naheshimu tofauti zetu. Naheshimu pia imani yako ya "hakuna Mungu " sioni ni kwanini ulete hoja zako kutaka watu wakupe ushahidi ambao kutokana na tofauti zetu sio lazima uelewe sawa na Mimi.
Yaweza kuwa tofauti iko hata namna tunavyofikiri na kupambanua mambo
Yaweza kuwa Mimi Nina maono ambayo wewe huna kwa msingi huo ni vema nawe uheshimu wenzio wenye imani kinyume na wewe.
Mimi naamini kwamba Mungu yupo na sababu za kuamini hivyo nazikubali
Wewe unaamini kwamba mungu hayupo kwa sababu unazozikubali wewe basi kila mmoja na aishi na imani yake pasipo kujipandisha mabega kwamba imani yake ni bora kuliko ya mwingine.
Wewe unaogopa matusi kiasi kwamva hutaki hata hoja toka kichwa kitoacho uyaitayo matusi na wewe umekiri kwamba sio lazima yaliyo matusi kwako yawe matusi kwangu.
Kwa janja hiyo yawezakuwa hata hoja zinazokuonyesha madhaifu yako ya kufikiri ukawa hutaki kuziona maana ukiziona utatakiwa kuzijibu hivyo njia rahisi ni kutumia ignorelist....
Respect our difference with actions
God exists...

Naheshimu uhuru wako wa kuamini kwamba mungu yupo.

Ukishaleta hoja ya kwamba mungu yupo hapa JF, umeileta ijadiliwe na mimi jitaijadili kwa ninavyojua, kwamba habari nzima ya mungu kuwapo ni hadithi isiyothibitishika.

Kama unaona hivyo sivyo, thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaruhusiwa kuamini chochote. Kuamini tu si tatizo.

Ukianza kusema "God exists" as a fact, lazima uthibitishe.
 
Kama hilo ni tusi kwako wewe au yeye mnayo haki ya kuniweka mimi katika ignore lists zenu.

Tatizo liko wapi?

Tatizo kwamba sisi tunahitaji kujibu hoja kuhusu kuwepo kwa Mungu.
Kukuweka kwenye ignore list kutaamanisha uwe na Uhuru wa kumwagha hoja zako huku tukiwa hatuzioni na ukafanikiwa kughilibu watu wengine au kuwanyima wafuatilia mjadala kwa ajili ya kujifunza.
Walioweka ignore list hawajuweka njia ya kukwepa kuona hoja usizo na uwezo wa kuzijibu, naweza kukupeleka ignorelist Kama unaandika mambo ambayo hayahusiani na hoja inayozungumzia.
Mfano hoja iwe uwepo wa Mungu wewe uniambue Mimi Fara Jana simba ilishinda 1-0 na ikawa ndiyo kawaida yako kweli naweza tumia ignore list lakini ukiandika wewe Fara mungu hayupo kwa sababu hii au ile Mimi siwezi tumia ignore list simply kwa kuwa jamaa anaripoka kwanza kabla ya kujibu hoja.
Lakini Kama maji yanazidi unga ignore list yaweza kuwa na msaada mkubwa Sana.
Hongera kwa hilo...
 
Huyo muhuni alishanitukana matusi mabaya sana hana hadhi ya kujibishana nami.

Nilishamuweka kwenye ignore list, hata anachoandika sikioni na wala sihitaji kukiona.

Kama anaweza kuniomba radhi na kuahidi kutorudia matusi yake, labda naweza kufikiria kumtoa kwenye ignore list.

Natumaini hata wewe usingependa tuanze kujibishana matusi hapa.

Kwa kumuweka kwenye ignore list, naepusha matusi.

Obviously, you can't prove your non theist belief. You can't even provide arguments or evidence to justify your belief. Non theism is mindless.

You made my point for me.

Come back when you can be honest about your mindless faith.


God self-exists. This means that God exists without beginning in time as the uncaused prime cause of all things that exist contingently (having a beginning to their existence).

This does not mean God is self-created. Self creation is irrational. Something would have to exist before it exists to self-create.

You need to remember that Self-existence is rationally NECESSARY and not optional, since something exists, rather than nothing.

Why? Because if absolute nothing existed, what would exist now? That's right - nothing. Nothingness cannot cause something to begin existence. Yet, something exists now. Therefore something necessarily always existed (eternally) as the causal prime of all things that begin to exist.

Most non theists ask, well why can't the Universe be that self-existent something? The short answer is that the Universe began to exist, so it cannot possibly have existed eternally in the past.

The rest of your responses are just sloppy protests. You clearly don't have any familiarity with the actual arguments or evidence. If you really think you have some point on something, pick one to pitch me and watch me knock it out of the park. Then we can repeat with another protest.
 
Tatizo kwamba sisi tunahitaji kujibu hoja kuhusu kuwepo kwa Mungu.
Kukuweka kwenye ignore list kutaamanisha uwe na Uhuru wa kumwagha hoja zako huku tukiwa hatuzioni na ukafanikiwa kughilibu watu wengine au kuwanyima wafuatilia mjadala kwa ajili ya kujifunza.
Walioweka ignore list hawajuweka njia ya kukwepa kuona hoja usizo na uwezo wa kuzijibu, naweza kukupeleka ignorelist Kama unaandika mambo ambayo hayahusiani na hoja inayozungumzia.
Mfano hoja iwe uwepo wa Mungu wewe uniambue Mimi Fara Jana simba ilishinda 1-0 na ikawa ndiyo kawaida yako kweli naweza tumia ignore list lakini ukiandika wewe Fara mungu hayupo kwa sababu hii au ile Mimi siwezi tumia ignore list simply kwa kuwa jamaa anaripoka kwanza kabla ya kujibu hoja.
Lakini Kama maji yanazidi unga ignore list yaweza kuwa na msaada mkubwa Sana.
Hongera kwa hilo...

Basi msiniweke kwenye ignore list, tatizo nini?
 
Naheshimu uhuru wako wa kuamini kwamba mungu yupo.

Ukishaleta hoja ya kwamba mungu yupo hapa JF, umeileta ijadiliwe na mimi jitaijadili kwa ninavyojua, kwamba habari nzima ya mungu kuwapo ni hadithi isiyothibitishika.

Kama unaona hivyo sivyo, thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaruhusiwa kuamini chochote. Kuamini tu si tatizo.

Ukianza kusema "God exists" as a fact, lazima uthibitishe.

Na ukiona "muhuni" analeta hoja usizoweza kujibu. Unatoka mbio kubonyeza ignore list ili usiwe unaziona post zake...
Good
 
Na ukiona "muhuni" analeta hoja usizoweza kujibu. Unatoka mbio kubonyeza ignore list ili usiwe unaziona post zake...
Good

Hoja gani nimeshindwa kuijibu?

Kati yangu niliyeomba uthibitisho wa kuwepo mungu mara lukuki hapa na kukosa jibu, bali kupata matusi tu, na aliyeshindwa kujibu na kuishia kutukana, nani kashindwa kujibu hoja?
 
Naheshimu uhuru wako wa kuamini kwamba mungu yupo.

Ukishaleta hoja ya kwamba mungu yupo hapa JF, umeileta ijadiliwe na mimi jitaijadili kwa ninavyojua, kwamba habari nzima ya mungu kuwapo ni hadithi isiyothibitishika.

Kama unaona hivyo sivyo, thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaruhusiwa kuamini chochote. Kuamini tu si tatizo.

Ukianza kusema "God exists" as a fact, lazima uthibitishe.

Mimi nikizungumza habari za Mungu ambaye naamini Yupo na waamini wenzangu. Ni kwanini wewe uingilie na kusema mungu hayupo ni fiksi lau Kama yupo uthibitishiwe huku mkono mmoja ukiwekwa kwenye ignore list ? Kwa nini unafikiri wanaojibizana nawe ni kwa kuwa unaongea hoja njema tupu kwao ?
Huna lolote ni dhaifu wa hoja na mwoga Tu ndiyo sababu ignore list amekuwa right hand man wako...
Kama umujitoa akili na kuamini Mungu hayupo kwanini unashindwa kujitoa akili kuamini kwamba matusi hayapo ni fikra za kijinga na majingamajinga ya wasiofikiri vizuri kuita baadhi ya hoja ni matusi ?
 
Naheshimu uhuru wako wa kuamini kwamba mungu yupo.

Ukishaleta hoja ya kwamba mungu yupo hapa JF, umeileta ijadiliwe na mimi jitaijadili kwa ninavyojua, kwamba habari nzima ya mungu kuwapo ni hadithi isiyothibitishika.

Kama unaona hivyo sivyo, thibitisha kwamba mungu yupo.

Unaruhusiwa kuamini chochote. Kuamini tu si tatizo.

Ukianza kusema "God exists" as a fact, lazima uthibitishe.

I understand your frustration. It would suck to be non theist, foolish and defenseless...being castrated by those you despise.

Yes, any speculative multi-verse would also require an absolute beginning - according to BGV proof Theorem. They can't escape it.

Of course you won't hold yourself intellectually accountable to directly relevant questions. You never do. You wan't to pass off BS unchallenged.

You keep piling up questions and objections, then dance, spin and deflect when answered substantively and proven wrong. You refuse to answer anything I ask or hold yourself accountable.
That's just intellectual laziness.

You want to obfuscate by appeal to some phantom QM event that is raw speculation and explains nothing. I call your bluff and ask you to justify your appeal to QM. You refuse to answer, and try to feign indignation. What a chump.

Otherwise, where did QM exist in a physical Universe that did not exist?

Explain how QM escapes causal necessity?

Explain how QM models the real world? Which interpretation?

Explain why anyone should believe classical space and time is not a real feature of the universe?
 
Mimi nikizungumza habari za Mungu ambaye naamini Yupo na waamini wenzangu. Ni kwanini wewe uingilie na kusema mungu hayupo ni fiksi lau Kama yupo uthibitishiwe huku mkono mmoja ukiwekwa kwenye ignore list ? Kwa nini unafikiri wanaojibizana nawe ni kwa kuwa unaongea hoja njema tupu kwao ?
Huna lolote ni dhaifu wa hoja na mwoga Tu ndiyo sababu ignore list amekuwa right hand man wako...
Kama umujitoa akili na kuamini Mungu hayupo kwanini unashindwa kujitoa akili kuamini kwamba matusi hayapo ni fikra za kijinga na majingamajinga ya wasiofikiri vizuri kuita baadhi ya hoja ni matusi ?

Chochote utakachokiweka JF si kitu unachozungumza na waamini wenzako.

Kama unataka kuzungumza na waamini wenzako nenda kanisani, msikitini au anzisha forum yako ya waamini.

Hii ni public forum, inayojumuisha waamini na wasioamini mungu.

Hilo moja.

Pili, kuna tofauti kati ya "I believe god exists" which asserts a belief and "god exists" which asserts a fact.

Know the difference.
 
Hoja gani nimeshindwa kuijibu?

Kati yangu niliyeomba uthibitisho wa kuwepo mungu mara lukuki hapa na kukosa jibu, bali kupata matusi tu, na aliyeshindwa kujibu na kuishia kutukana, nani kashindwa kujibu hoja?

Your claims are empty. You in fact fail to answer anything or hold yourself accountable. Then you throw a hissy fit and refuse to answer questions when I exposed you.

Explain how QM escapes causal necessity?

Explain how QM models the real world? Which interpretation?

Explain why anyone should believe classical space and time is not a real feature of the universe?
 
Chochote utakachokiweka JF si kitu unachozungumza na waamini wenzako.

Kama unataka kuzungumza na waamini wenzako nenda kanisani, msikitini au anzisha forum yako ya waamini.

Hii ni public forum, inayojumuisha waamini na wasioamini mungu.

Hilo moja.

Pili, kuna tofauti kati ya "I believe god exists" which asserts a belief and "god exists" which asserts a fact.

Know the difference.

We differ ! ... You you said that, we differ in every aspect.
You believe god does not exists, this is commensurate with your thinking capabilities. I believe God exists.
Ninapojadili habari za Mungu ninayemwamini pasipokuingilia yule wa kwako asiyekuwepo unaumia na nini ?
Wewe umetoa ushahidi wowote katika kile unachoamini kwamba Mungu hayupo ? Ni nini kimekupelekea na kukuthibitishia kwamba Mungu hayupo, WAWEZA TUGAWIA SEHEMU YA UTAFUTI WAKO ULIOWEZESHA WEWE UHITIMISHE MUNGU HAYUPO. Kama ni imani Tu uliyoyonayo ndiyo imelifanya uamini mungu hayupo mbona unaona aibu kusema wazi na Kama ni ujuzi mbona waonea haya ujuzi wako ?

Mimi na wenzangu tunaoamini Kuwepo kwa Mungu na kujua kwba yeye ndiye muumbaji tunajadiliana, from nowhere unaibuka na kutwambia mungu hayupo ni fix tu .unaombwa uthibitisho unaanza kujiuma uma huku mkono mmoja umeuweka Karibu ma Burton ya ignore list.
Nawe wajiona mjanja...
 
Ukweli ni kwamba, jinsi knowledge inavozidi kuongezeka watu wanazidi kwenda mbali na Mungu, hii hata kwenye bible imeandikwa though... Mtu anayesoma science kwa undani zaidi, any field of science, ukianza kuingia deep utaanza kuona kama sisi binadamu tunaweza fanya chochote kile...

Nimesoma na watu wa aina mbalimbali wengine walioshika dini kupindukia, siku zilivozidi kwenda tukachukua wote courses chuo physics, psychology, biology, computer science, kadri mambo yanavozidi kueleweka ndo imani ikaanza kuyumba, hadi jamaa aliyekua kashika sana dini alikuja akanambia ameanza ku-question uwepo wa Mungu, yote ni kutokana na ile elimu anayoipata kuhusu dunia na ulimwengu kwa ujumla darasani, unconsciously inaingia akilini inakubadilisha... Honestly hata mimi mwenyewe imani yangu imeyumba mara nyingi kwa ku-question uwepo wa Mungu kutumia science knowledge..

Na muda mwingine mtu unaanza ku-question, kwamba mimi ni Mkristo je ni kwa sababu nimependa mwenyewe au sababu nilizaliwa familia ya wakristo nikakua nikayashika mambo yakaniingia hivohivo?? sababu in reality mtoto mdogo anashika mambo na kuyapokea akilini na yakadumu milele, je ungezaliwa muislamu si leo hii ungetetea uislamu, je ungezaliwa Buddhist si ungeendelea na imani yako maana unconsciously iliingia akilini ulivokua unakua ikakaa... Je ungebadili dini ufate ukristo? ufate uislamu? Sasa je yupi anaamini cha ukweli yupi cha uongo?? pande zote mbili zina mafundisho yao na wana proof zao... Haya maswali yanachanganya at the end of the day mtu mwenye knowledge nyingi kama Mark, watu kama Bill Nye, wanaamua kua atheists tu kwa kuona dini haina logic....

Elimu zote za sayansi hazijafikia 1% kudhibitisha uwepo wa mungu .. discoveries zote me naona ni kama 0.1% of the reality na jinsi mambo yanavoenda ... nikupe mfano mdogo jicho la mwanadamu linavofanyakazi liko far beyond what science can do (camera zimecopy lakini hazijafikia hata 1% ya ufanyaji kazi wa jicho) .. huo ni mfano mdogo tu ! mfano hamna sayansi inayotia mguu kwenye nguvu yoyote ya imani yoyote but still imani zipo, zinafanyakazi na zina power kubwa sana.

Conclusion
.. what science is doing ni confirmation ya uwepo wa mungu ... soma vizuri bing bang theory iko mle mle inajizungusha kwenye uumbaji wa mwanga duniani ...! kwangu mimi sioni kama sayansi inapinga uwepo wa mungu bali inajaribu kutafuta njia alizotumia Mungu.
 
Chochote utakachokiweka JF si kitu unachozungumza na waamini wenzako.

Kama unataka kuzungumza na waamini wenzako nenda kanisani, msikitini au anzisha forum yako ya waamini.

Hii ni public forum, inayojumuisha waamini na wasioamini mungu.

Hilo moja.

Pili, kuna tofauti kati ya "I believe god exists" which asserts a belief and "god exists" which asserts a fact.

Know the difference.

...and " god does not exist " is not a fact ?
 
Basi msiniweke kwenye ignore list, tatizo nini?

Usitusumbue kudai ushahidi wa uwepo wa Mungu huku ushahidi umejifungia usiuone. Koma kuomba ushahidi wakati umejichagulia mwenyewe usione ushahidi.
Unaanzisha ugomvi kwa kutegemea mbio...
Acha utoto bana!
 
We differ ! ... You you said that, we differ in every aspect.
You believe god does not exists, this is commensurate with your thinking capabilities. I believe God exists.
Ninapojadili habari za Mungu ninayemwamini pasipokuingilia yule wa kwako asiyekuwepo unaumia na nini ?
Wewe umetoa ushahidi wowote katika kile unachoamini kwamba Mungu hayupo ? Ni nini kimekupelekea na kukuthibitishia kwamba Mungu hayupo, WAWEZA TUGAWIA SEHEMU YA UTAFUTI WAKO ULIOWEZESHA WEWE UHITIMISHE MUNGU HAYUPO. Kama ni imani Tu uliyoyonayo ndiyo imelifanya uamini mungu hayupo mbona unaona aibu kusema wazi na Kama ni ujuzi mbona waonea haya ujuzi wako ?

Mimi na wenzangu tunaoamini Kuwepo kwa Mungu na kujua kwba yeye ndiye muumbaji tunajadiliana, from nowhere unaibuka na kutwambia mungu hayupo ni fix tu .unaombwa uthibitisho unaanza kujiuma uma huku mkono mmoja umeuweka Karibu ma Burton ya ignore list.
Nawe wajiona mjanja...

First of...

Believing is tied to exiatence. Questioning the existence is not believing it dies not exists, itvis merely not believing it exists.

I do not put much stock in believing at all, be it believibg god exists or god does not exist.

I would rather know.

Huwezi kujadili habari za kuwapo kwa mungu as a fact bila kuniingilia mimi nisiyekubali kwamba mungu yupo.

Siwezi kutoa ushahidi kwamba kitu ambcaho hakipo hakipo kama wewe usivyoweza kutoa alama za vidole za mwizi ambaye hayupo na hakuwahi kuwepo, kwa sababu hayupo. Utaanzaje kutoa ushahidi kwamba kisichopo hakipo?

Mungu wenu, hususan huyu mjuzi wa yote, muweza yote, aliye pote na mwenye upendo wote hayupo.

Angekuwepo asingeumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kama huu.
 
Chochote utakachokiweka JF si kitu unachozungumza na waamini wenzako.

Kama unataka kuzungumza na waamini wenzako nenda kanisani, msikitini au anzisha forum yako ya waamini.

Hii ni public forum, inayojumuisha waamini na wasioamini mungu.

Hilo moja.

Pili, kuna tofauti kati ya "I believe god exists" which asserts a belief and "god exists" which asserts a fact.

Know the difference.

That's your newest excuse? As predicted, you offered no evidence or arguments for non theism.

Massive evidence and arguments for God exist.

Here is an outline of some evidences for God argued in world class debates. Nobody has defeated any one of them.

Contingency – God is the best explanation for why something exists contingently rather than nothing. Something cannot begin from nothing without a cause. Therefore, Something necessarily self-exists. Self-existence is logically necessary. A Universe from Self –creation is logically impossible. Our Universe began to exist. Our Universe is not self-existent. Our Universe requires a causally antecedent agency to explain it's existence. God does not – God has no beginning, but self-exists as prime.

Cosmological – Absolute beginning confirmed by Big Bang cosmology requires a causal agency. Cause of Physical Universe cannot itself be Physical. Must be non-physical, space-less, timeless and willful to cause Physical Universe from Physical Nothingness.

Design: Specified, ordered and integrated interdependencies aimed towards a third-purpose design objectives clearly infer intelligent agency. ‘Chance' events within limited time-frames cannot rationally account for Design achievements. No sufficient Naturalistic mechanisms or explanations. Intelligent purpose is far more plausible explanation. Origin of radically sophisticated DNA information (software) driving molecular highly sophisticated molecular machines within each cell. Also, the design inference from irreducible complexity cannot and certainly has not been adequately explained.

Precision FINELY TUNED constants and quantities present in initial conditions of the Universe to within infinitesimally narrow ranges to permit life. Universe is precision balanced on razor's edge. This is virtual mathematical proof of intent – a function of mind – is necessary to explain these precision orderings.

Ontological argument – God is a metaphysically necessary Being. Since God's attributes are metaphysically possible, and all metaphysical possibilities must also be actual if possible, God must be actual.


Intelligence in Nature: Intelligence, order and reason and information all from Nothingness?

Spiritual instinct of man: Evolved to connect with something not actual?

Free-will: Chemical causation is not free-will. Agency requires a soul.
Chemicals have no moral duties.

Moral Truth / Apprehension of Objective moral truth. Is rape really wrong or just an illusion? Is rape just a natural chemical byproduct caused by electrochemical activity (non theism) – or an act of will.

Massive Historical evidences of witnessed Miracles, visions, fulfilled prophecies,.

Personal experiences: Ubiquitous NDE's, supernatural phenomena

Christ's resurrection witnessed by hundreds.

Absolute failure of Naturalism to explain a Finely tuned Universe, Finite Universe, Sentience, Rational truth and natural order, Moral Law (morality), intuition, intention, intelligence, purpose, free-will…
 
Back
Top Bottom