Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

That will be great!

He is the Creator of the universe, that means He his beyond time, space and matter.
Still you feel like seeing Him in a matter "test tube " at times bora kuwa kipofu kuliko kuwa na mcho kusoma upu.Uzi Kama uliondika.
Samahani lakini...ukweli ndivyo ulivyo
 
He is the Creator of the universe, that means He his beyond time, space and matter.
Still you feel like seeing Him in a matter "test tube " at times bora kuwa kipofu kuliko kuwa na mcho kusoma upu.Uzi Kama uliondika.
Samahani lakini...ukweli ndivyo ulivyo

Hey, that was your suggestion not mine. Kama ni upuuzi wewe ndio umeuanzisha so be careful what you write next time.
 
Unajitahidi kuwaelimisha ila Wana shingo ngumu sana hawa jamaa

Wengi wao ukiwafuatilia ni waabudu shetani na wanaelewa vizuri ulimwengu wa roho sema hapa wapo kazini na kazi yao ni kupotosha na kufanya watu wasiamini wala kufuata maagizo ya MUNGU.
Hawa ni mawakala kamili wa yule mwovu na baba wa uongo shetani na hapa wapo kazini kabisa.Hao wakina Zuckerberg na Warren Buffet ukiwafuatilia unakuta ni member wa secret societies ambao always are against GOD.
 
Kiranga declare your interest please. Naona jamaa kawalundika kapu moja...

Mimi si gay.

Hawa watu wengine wanataka tutoke kwenye hoja na tuibgie kwenye viroja vya kutykanana na kusemezana kwa mambo yasiyo ya msingi.

Uongo wa kupakaziana ni tabia moja ya mtu aliyeshindwa joja.

Kwa minajili ya kupoteza muelekeo wa majadiliano.

Nimeomba uthibitisjo kwamba mungu yupo.

Sijapewa, watu wanaleta longolongo tofauti ambazo hazihusiki.
 
Last edited by a moderator:
Mimi si gay.
Denial without proof is null and void.


Hawa watu wengine wanataka tutoke kwenye hoja na tuibgie kwenye viroja vya kutykanana na kusemezana kwa mambo yasiyo ya msingi.
How many times you commit said crime?

Uongo wa kupakaziana ni tabia moja ya mtu aliyeshindwa joja.
Is gay morally wrong? How is that possible in science?

Kwa minajili ya kupoteza muelekeo wa majadiliano.
Is the thread about "Mungu Yupo?

Nimeomba uthibitisjo kwamba mungu yupo.

Sijapewa, watu wanaleta longolongo tofauti ambazo hazihusiki.

Again, here is my evidence for God.
Where is your evidence to justify your belief in NO God?

Contingency – Why does something exist rather than nothing? Something cannot come from nothing, so Something must self-exist. Self-existence is necessary. Universe began. Universe is not self-existent. Universe requires a causally antecedent agency to explain it’s existence. God does not – no beginning.

Cosmological – Absolute beginning requires a cause. Cause of Physical Universe cannot be Physical. Must be non-physical, space-less, timeless and willful to cause Physical Universe from Physical Nothingness.

Design: specified complexity, specifically integrated interdependencies for third purposes, irreducible complexity. No plausible Naturalistic mechanisms or explanations actually exist.

Precision FINELY TUNED constants and quantities present in initial conditions of the Universe to within infinitesimally narrow ranges to permit life. Universe is precision balanced on razor’s edge.

Ontological argument – God is a metaphysically necessary Being. Since God’s attributes are metaphysically possible, and all metaphysical possibilities are also actual, God must be actual.

Intelligence in Nature: Intelligence, order and reason and information all from Nothingness?
Spiritual instinct of man: Evolved to connect with something not actual?

Free-will: Chemical causation is not free-will. Agency requires a soul. Chemicals have no moral duties
Moral Truth / Apprehension of Objective moral truth. Is rape really wrong or just an illusion? Is rape just a natural chemical byproduct caused by electrochemical activity (Atheism) – or an act of will.

Massive Historical evidences of witnessed Miracles, visions, fulfilled prophecies,
Personal experiences: Ubiquitous NDE’s, supernatural phenomena
Christ’s resurrection witnessed by hundreds.

Absolute failure of Naturalism to explain a Finely tuned Universe, Finite Universe, Sentience, Rational truth and natural order, Moral Law (morality), intuition, intentionality, intelligence, purpose, free-will…
 
Kiranga declare your interest please. Naona jamaa kawalundika kapu moja...
I don't think the person will be able to give you verifiable evidence, in contrast, spewing venomous malarkey without proofs. Said person is now angry and humiliated.
 
Mimi si gay.

Hawa watu wengine wanataka tutoke kwenye hoja na tuibgie kwenye viroja vya kutykanana na kusemezana kwa mambo yasiyo ya msingi.

Uongo wa kupakaziana ni tabia moja ya mtu aliyeshindwa joja.

Kwa minajili ya kupoteza muelekeo wa majadiliano.

Nimeomba uthibitisjo kwamba mungu yupo.

Sijapewa, watu wanaleta longolongo tofauti ambazo hazihusiki.

Kuna ubaya wowote kimaadili MTU kuwa gay ? Au ni kanuni gani ya kisayansi MTU hukiuka akiwa gay ambayo inakufanya wewe uone unatukanwa ukiambiwa wewe gay ?
Kuna jamaa amekujibu kuhusu kuwepo Mungu. Je ? Waweza kukanusha hoja zake kwa ushahidi Kama huwezi ni kwa vipi MTU Kama huyo Mwenye ushahidi bado awe hajamthibitisha Mungu ?
 
Kuna ubaya wowote kimaadili MTU kuwa gay ? Au ni kanuni gani ya kisayansi MTU hukiuka akiwa gay ambayo inakufanya wewe uone unatukanwa ukiambiwa wewe gay ?
Kuna jamaa amekujibu kuhusu kuwepo Mungu. Je ? Waweza kukanusha hoja zake kwa ushahidi Kama huwezi ni kwa vipi MTU Kama huyo Mwenye ushahidi bado awe hajamthibitisha Mungu ?

Wapi nimesema nimetukanwa kuitwa gay?

Unaona vipi mimi nimetukanwa kuitwa gay kwa mimi kusema mimi si gay?

Huyo "jamaa" aliyenijibu kuhusu kuwapo kwa mungu kanijibu wapi?

Hyperlinks and post numbers are here for a reason, use them.
 
Mimi si gay.

Hawa watu wengine wanataka tutoke kwenye hoja na tuibgie kwenye viroja vya kutykanana na kusemezana kwa mambo yasiyo ya msingi.

Uongo wa kupakaziana ni tabia moja ya mtu aliyeshindwa joja.

Kwa minajili ya kupoteza muelekeo wa majadiliano.

Nimeomba uthibitisjo kwamba mungu yupo.

Sijapewa, watu wanaleta longolongo tofauti ambazo hazihusiki.

Wapi nimesema nimetukanwa kuitwa gay?

Unaona vipi mimi nimetukanwa kuitwa gay kwa mimi kusema mimi si gay?

Huyo "jamaa" aliyenijibu kuhusu kuwapo kwa mungu kanijibu wapi?

Hyperlinks and post numbers are here for a reason, use them.

Umeandika jamaa wanataka mtoke kwenye hoja muingie kwenye viroja na kutukanana...
Ndiyo nilifikiri kuitwa shoga/gay ndiyo kutukanwa kwenyewe na ndiyo msingi wa hoja yangu.
Jamaa amekujibu kwenye post namba 152 kwa mujibu wa simu yangu.
Samahani Kama nakukwaza
 
Umeandika jamaa wanataka mtoke kwenye hoja muingie kwenye viroja na kutukanana...
Ndiyo nilifikiri kuitwa shoga/gay ndiyo kutukanwa kwenyewe na ndiyo msingi wa hoja yangu.
Jamaa amekujibu kwenye post namba 152 kwa mujibu wa simu yangu.
Samahani Kama nakukwaza

Huyo muhuni alishanitukana matusi mabaya sana hana hadhi ya kujibishana nami.

Nilishamuweka kwenye ignore list, hata anachoandika sikioni na wala sihitaji kukiona.

Kama anaweza kuniomba radhi na kuahidi kutorudia matusi yake, labda naweza kufikiria kumtoa kwenye ignore list.

Natumaini hata wewe usingependa tuanze kujibishana matusi hapa.

Kwa kumuweka kwenye ignore list, naepusha matusi.
 
Wapi nimesema nimetukanwa kuitwa gay?

Unaona vipi mimi nimetukanwa kuitwa gay kwa mimi kusema mimi si gay?

Huyo "jamaa" aliyenijibu kuhusu kuwapo kwa mungu kanijibu wapi?

Hyperlinks and post numbers are here for a reason, use them.

Kuna wakati mwingine badala ya kulaumu kutotumika kwa "hyperlinks" na post namba sio vibaya ukianza na kutoa somo namna ya kutumia.
Wengi wetu Tu wajuzi wa kubonyeza herufi na tarakimu Tu.
Usitulaumu kabla ya kugawa ujuzi wako Mkuu wangu.
 
Kuna wakati mwingine badala ya kulaumu kutotumika kwa "hyperlinks" na post namba sio vibaya ukianza na kutoa somo namna ya kutumia.
Wengi wetu Tu wajuzi wa kubonyeza herufi na tarakimu Tu.
Usitulaumu kabla ya kugawa ujuzi wako Mkuu wangu.

Kama huna basic netiquette hilo si tatizo langu.

Get a tutorial or something.
 
Huyo muhuni alishanitukana matusi mabaya sana hana hadhi ya kujibishana nami.

Nilishamuweka kwenye ignore list, hata anachoandika sikioni na wala sihitaji kukiona.

Kama anaweza kuniomba radhi na kuahidi kutorudia matusi yake, labda naweza kufikiria kumtoa kwenye ignore list.

Natumaini hata wewe usingependa tuanze kujibishana matusi hapa.

Kwa kumuweka kwenye ignore list, naepusha matusi.

Naomba nikuhakikishie kitu kimoja, hakuna neno wala lugha toka kwa yeyote inayoweza kunifanya nimpeleke ignore list sumbuse kumreport abuse. Naheshimu Uhuru wa kuropoka na kusema...nitakujibu kwa kadri ya lugha itayofanya tuelewane.
Hivi matusi ni universal kwamba kile ambacho wewe unaona ni tusi lazima kiwe tusi na kwa MTU mwingine ?
Ama kuhusu kutoona hoja za jamaa kwangu Mimi naona ni udhaifu wako mwenyewe kuliko kuwa makosa ya huyo jamaa.
Baada ya kumpeleka Ignorelist na kutoona hoja zake kwa fikra zako unataka Mimi niwe nacopy hoja zake na kukuwekea au napo hutaki ?
Mimi naweza tumika Kama pipe la kupitisha hoja za Ishmael kwa kuwa naona ni nzito na zinawakilisha ushahidi wa yakini wa kuwepo kwa Mungu muumba. Nakuwekea hoja zenyewe Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Naomba nikuhakikishie kitu kimoja, hakuna neno wala lugha toka kwa yeyote inayoweza kunifanya nimpeleke ignore list sumbuse kumreport abuse. Naheshimu Uhuru wa kuropoka na kusema...nitakujibu kwa kadri ya lugha itayofanya tuelewane.
Hivi matusi ni universal kwamba kile ambacho wewe unaona ni tusi lazima kiwe tusi na kwa MTU mwingine ?
Ama kuhusu kutoona hoja za jamaa kwangu Mimi naona ni udhaifu wako mwenyewe kuliko kuwa makosa ya huyo jamaa.
Baada ya kumpeleka Ignorelist na kutoona hoja zake kwa fikra zako unataka Mimi niwe nacopy hoja zake na kukuwekea au napo hutaki ?
Mimi naweza tumika Kama pipe la kupitisha hoja za Ishmael kwa kuwa naona ni nzito na zinawakilisha ushahidi wa yakini wa kuwepo kwa Mungu muumba. Nakuwekea hoja zenyewe Mkuu.

Wewe unaona ignore list imeqekwa pale kama pambo, isitumiwe.

Mimi naona ina maana na itumiwe.


That's the difference between me and you.

Kumuweka mtu ignore list si kumnyima mtu uhuru wake wa kuropoka, in fact ni kumuongezea uhuru huo, kumfanya awe na uhuru huo bila ya kuingiliwa na maoni yako.

Sijasema kile kilicho tusi kwangu ni tusi kwa wote, ndiyo maana sijataka kumwambia admin ampige ban kwa wote, nimemuweka kwenye ignore list yangu tu. Know the difference.

Sihitaji validation yako kihusu nini ni udhaifu wangu na nini ni kipaji changu. Umetoa maoni yako, siyahitaji katika kujielewa mwenyewe.

Sina haja ya kuona hoja zake, ama kwa moja kwa moja ama kwa kupitia kwako. Not unless he apologizes and promise to not repeat his insults anyway.

I know we are fundamentally different.

And I respect that we are different.

Can you do the same?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom