So you sheepishly believe without any backing evidence to prove the story?
Prove kwamba wewe ni Atheist lakini sio Bwabwa ! Weka ushahidi yakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So you sheepishly believe without any backing evidence to prove the story?
Kama uwezo ni kuweza kutenda.
Mungu aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?
Prove kwamba wewe ni Atheist lakini sio Bwabwa ! Weka ushahidi yakini
Ukimwi ni kitu kizuri?Wewe ! Maana huwezi kujibu hoja kulingana na unavyoulizwa
Umeulizwa Mabaya ndiyo vitu gani ?
Umetaja matukio kama vifo, nimekuonyesha namna ambavyo kifo kinaweza kuwa kibaya kwako na kikawa ni Neema kwa mwingine...
Kwanini ujirushe ghorofani ?
Yaani wewe ni mindless perse
Siuoni uzito wa hoja yako labda uniambie huo ushahidi kuwa kila asiemuamini mungu wako ni shoga umeutoa wapi?
Nachofahamu ushoga hauchagui mitazamo ndio maana kuna wakristo, waislamu, mapadri, mashekhe na watu kutoka katika makundi mengi tu ambao ni mashoga.
Siuoni uzito wa hoja yako labda uniambie huo ushahidi kuwa kila asiemuamini mungu wako ni shoga umeutoa wapi?
Nachofahamu ushoga hauchagui mitazamo ndio maana kuna wakristo, waislamu, mapadri, mashekhe na watu kutoka katika makundi mengi tu ambao ni mashoga.
Huu utakuwa mjadala wa kilevi perse...
Ni nini kinachoufanya mjadala wa kilevi? Mjadala usio wa kilevi unakuaje? Hebu tuelezee kwa kifupi maana sidhani kama umeona mtu anaetumia kilevi humu.
Sasa tuambie huo mjadala wa kilevi ukoje.
Hata Mkristo na Muislam wana terms and condition ili MTU awe na sifa ya kuwa ama muislam au Mkristo. Moja wapo ni kwamba ushoga unakuondolea sifa za kuwa Mkristo au muislam hivyo sio rahisi na haiwezekani MTU kuwa Shoga na Mkristo/Muislam wakati mmoja.
Atheist kwao kuwa shoga ni prestige ndiyo sababu mnatafuta hata publicity .
Umeelewa ?
Kuwa shoga ni tatizo au ni vibaya ?
Huyo Ishmael hajui kitu then anangangana na kuingia kichwa kichwa ,anakurupukia maswali hana hoja ya umuhimu kivile so guys Wa jukwaa hili akipuuziwa hakuna tatizo mana sioni cha umuhimu kwake zaidi ya kungangana na lugha ya kigeni ata sehemu ambayo haijatumika .,mkuu ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuwa mkurupukaji ivo Ishmael
you are right mkuuHuyo Nilishampuuza zamani kwa sababu hana hoja za msingi zaidi ya kucopy na kupaste halafu akizidiwa anaingiza lugha za kitoto halafu wanamuona superstar sana sijui nani wao.
Hakuna unachoweza kumjibu huyo jamaa, maelezo yako yanaonesha unatokwa povu hata huyo kianga naona kama anamkwepa sana jamaa.. ukisingizia lugha ni uongo kila mtu ana express hisia zake the way anaona inafaa, ama huelewi lugha na kama lugha unayotumia unaielewa basi huna uwezo wa kujibu hoja zake unaishia kuonesha udhaifu kwa comments zako.Huyo Nilishampuuza zamani kwa sababu hana hoja za msingi zaidi ya kucopy na kupaste halafu akizidiwa anaingiza lugha za kitoto halafu wanamuona superstar sana sijui nani wao.
Mti wenye matunda kupigwa mawe ni kawaida i though mgeenda hoja kwa hoja.. toe to toe badala ya kuanza kupindisha mnachotakiwa kujibu..Huyo Ishmael hajui kitu then anangangana na kuingia kichwa kichwa ,anakurupukia maswali hana hoja ya umuhimu kivile so guys Wa jukwaa hili akipuuziwa hakuna tatizo mana sioni cha umuhimu kwake zaidi ya kungangana na lugha ya kigeni ata sehemu ambayo haijatumika .,mkuu ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuwa mkurupukaji ivo Ishmael
Hakuna unachoweza kumjibu huyo jamaa, maelezo yako yanaonesha unatokwa povu hata huyo kianga naona kama anamkwepa sana jamaa.. ukisingizia lugha ni uongo kila mtu ana express hisia zake the way anaona inafaa, ama huelewi lugha na kama lugha unayotumia unaielewa basi huna uwezo wa kujibu hoja zake unaishia kuonesha udhaifu kwa comments zako.
Huyo Nilishampuuza zamani kwa sababu hana hoja za msingi zaidi ya kucopy na kupaste halafu akizidiwa anaingiza lugha za kitoto halafu wanamuona superstar sana sijui nani wao.
Huyo Ishmael hajui kitu then anangangana na kuingia kichwa kichwa ,anakurupukia maswali hana hoja ya umuhimu kivile so guys Wa jukwaa hili akipuuziwa hakuna tatizo mana sioni cha umuhimu kwake zaidi ya kungangana na lugha ya kigeni ata sehemu ambayo haijatumika .,mkuu ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuwa mkurupukaji ivo Ishmael
Kwa kanuni zipi?