Of course utakuwa mjadala wa kilevi.
Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.
Anayeweza kufanya a square circle.
Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.
Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.
Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.
Of course utakuwa mjadala wa kilevi.
Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.
Anayeweza kufanya a square circle.
Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.
Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.
Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.
Of course utakuwa mjadala wa kilevi.
Kwa sababu umekubali kuwepo kwa mungu anayeweza yote.
Anayeweza kufanya a square circle.
Akaumba ulimwengu ambao yeye mqenyewe hayupo.
Ambao utamfanya awepo na asiwepo kwa wakati huohuo.
Hapo ndipo upumbavu wa habari nzima ya "mungu muweza yote" unapojitokeza.
Jifunze kujibu maswali au u Kama programmed machine ?
Kwamba huoni maswali sio kweli.
Kwanini hupendi kujibu Bali wewe ni kurudia rudia pumba zako Kama kasuku ?
Jibu hoja na maswali husika acha ujuha wa kurudia rudia vitu ambavyo umeonyeshwa mapungufu yake.
Uwezo ni kuweza kutenda...
Kutoweza sio uwezo...
Kwa hiyo mungu anaweza kutoweza?
That must be charles darwin your deity who is now breathless and mindless.Kwa hiyo mungu anaweza kutoweza?
Unaacha kujibu maswali ulioulizwa ndiyo nawe ulete swali unakurupuka " kuweza hadi kutoweza" labda hakuna mungu ndiye mwenye uwezo wa kutokuweza !
Jifunze kujibu hoja ndiyo nawe ulete hoja...
Kama uwezo ni kuweza kutenda.
Mungu aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?
Kama uwezo ni kuweza kutenda.
Mungu aliweza kuumba ulimwengu ambao hauna mabaya?
"Mabaya" ndiyo mambo gani ?
"Mabaya " hupimwaje ?
Nijibu nikusaidie
Mabaya ni yale ambayo yanawafikia watu bila ya watu kutaka na wakashindwa kuyaepuka.
Kifo, magonjwa, matetemeko ya ardhi, tsunami, kubaguliwa,ukiwa,etc.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao haya yanawezekana
wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao haya hayawezekani?
Wewe ni mindless; kifo ni kibaya kwako Tu, kwa mchimba makaburi na muuza majeneza ni deal. Mindless...
Vivyo. Hivyo kilicho kibaya kwako kijamii ni kizuri kwa mwenzio Kama sio kiuchumi basi hata kisiasa.
Mindless
Kwa hiyo bado hujajibu mabaya ni yepi na ni mabaya kwa nani na kipimo chake nini
Jibu usaidiwe mindless
Mabaya ni yale ambayo yanawafikia watu bila ya watu kutaka na wakashindwa kuyaepuka.
Kifo, magonjwa, matetemeko ya ardhi, tsunami, kubaguliwa,ukiwa,etc.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao haya yanawezekana
wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao haya hayawezekani?
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?
Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?
Nani mindless sasa?
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?
Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?
Nani mindless sasa?
Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?
Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?
Nani mindless sasa?
I'm not expecting such a question! You're atheist am Christian, what do you think? as long i believe in the words of God na b'se namwamini Mungu na Mungu huyo huyo ametuambia kuzimu kupo i don't need scientific proof on that.. as long Mungu kasema inatosha sababu Mungu ni zaidi ya kitu chochote
Logical evidences are evidences. Shed the verificationism and open your mind.So you sheepishly believe without any backing evidence to prove the story?
You are mindless.Kwa hiyo mungu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mimi, mtengeneza majeneza na mchimba makaburi wote tunapata deal bila mtu kufa?
Unaweza kujirusha ghorofani ili ufe kusudi mchimba kaburi apate deal?
Nani mindless sasa?