Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amewahi kuongoza niniLissu anamzidi magu kwa uwezo wa kutawala na kuongoza watu zaidi ya mara 16. Ni Lissu hakuna mwingine.
Wewe subiri mbona unaanza kujambajamba mapema hivi?Yaani nyinyi akili zenu zinawaza kabisa Chadema wanaweza kuchukua dola kwa huyu Lissu wa kwenye mitandao?
Umenifurahisha sana hapo kwenye question tag ( wasn't he).Ooh really? Mwalimu Nyerere was an activist wasn't he?
LIKUD muone na mwingine huyu anayemuona TL mungu wake bila kusahau @quinein et alUmeandika ufala kabisa. Nini kimekufanya uwaone Salary Slip na Sky Eclat wanamuona mungu wao?
JF mnapenda kujifurahisha kazi ya uraisi Tanzania, Magufuli katuonyesha ili kupiga hatua aitaki mtu lelemama.Tanzania mtu yoyote anaweza kuwa Raisi.
Lissu kulipa kisasi ni hofu yako tu na ya wale waliompiga Risasi. Mungu ana makusudi na Lissu.Msitumie nguvu kuzuia Mpango wa Mungu.Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.
Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya "uanaharakati" .
Lissu bado ame stuck kwenye phase ya "uanaharakati"
Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu.
Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urais, hell No! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.
Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.
Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.
Kura za huruma ya Watanzania kwa Lissu ziende kwa Nyalandu.
Labda mgombea urais anapaswa kuwaje? Na hiyo kozi inafundishwa Chuo gani?Watanzania hawalioni hilo wanachoangalia ni popularity kigezo ambacho Lisu anacho 100% lakin in other side Lissu kweli hafit kwenye kugombea ngazi ya urais.
Ccm wote mnamtaka kada wenu NYALANDU [emoji3]Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.
Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya "uanaharakati" .
Lissu bado ame stuck kwenye phase ya "uanaharakati"
Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu.
Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urais, hell No! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.
Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.
Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.
Kura za huruma ya Watanzania kwa Lissu ziende kwa Nyalandu.
Kwani magu alishawahi kutawala wapi kabla?Lissu ameshawahi kutawala wapi? Kama ana uwezo mpeni Chama chenu akitawale maana kina matatizo ya kiuongozi kuliko nchi yetu.
Acha kumfananisha LISSU na Mambo ya kijinga weeeKama unaamini Lissu ni mshindani wa Magufuli kwenye nafasi ya urais 2020, basi wewe utakuwa ni mjuzi wa siasa wa mtandaoni tu na sio site.
Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi.
Rais anatakiwa awe
ame " out grow "Ile phase ya "uanaharakati" .
Lissu bado ame stuck kwenye phase ya "uanaharakati"
Kingine tukimpa Lissu nafasi ya kuwa Rais tunakuwa tunamsaidia Tu kumuweka katika nafasi ya kulipa kisasi Kwa watu anao amini ni watesi wake Jambo ambalo halina maslahi Kwa TAIFA letu.
Kaka Lissu wewe unasifika na kuheshimika kama Mwanasiasa makini but kwa hili la urais, hell No! I Am sorry to tell you that you are not a good fit.
Chadema mtafanya makosa makubwa Sana kama nafasi ya kupeperusha bendera ya chama chenu mtaitoa kwa MTU mwingine tofauti na Nyalandu.
Lissu awe kwenye kampeni kumsindikiza na kukuunga mkono Nyalandu.
Kura za huruma ya Watanzania kwa Lissu ziende kwa Nyalandu.
Labda mgombea urais anapaswa kuwaje? Na hiyo kozi inafundishwa Chuo gani?