Why should I confess?

Wana ku shawishi kufanya vitu vya kijinga kama Vipi yaani?
 
Mmh,bado sielew

Kweli wew ni mtoto wa kisabato na hakika hawatakuweza maana hata kuandika tu mambo yao umeona kama ni dhambi

Bado mungu yupo na wewe

Sisi ambao tumeshaleft church mambo madogo kama hayo huwa tunatamka tu mfano kisimi kinembe
Duuuh,.
Sema watu wa humu hawana dogo
 
We Umesha sema wapaka bleach, Wana tattoo, vipindi.

Mara vipato vyao na biashara havi endani, hao ni street retailers 😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…