Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 858
- 2,497
Wewe endelea kujidanganya mkuu, tena watoto wa international wajanja vibaya mno wako ki international zaidi si kama sisi kayumba tunakomaa na mifumo ya elimu ya 1970 huko.Shule za kimasikini watoto uwa wanajichanganya kila nyanja mitaani ndio maana ata bongo zao zinakuwa janja tofauti na hawa Broiler wa international school..
mfano hai unaweza ukawachukua watoto wawili wa kayumba na international ukawaacha mji ambao wote ni wageni kwa muda. Mtoto international atakufa njaa ila kayumba atajichanhanya na anatoka maisha apo apo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasemaje IST Ni mfano usio na uhalisia wakati shule ipo hapa hapa Tanzania,
Wazazi tuko nao humu humu mitaani na watoto wao wako pale IST wanasoma.
Au IST nayo sio private school?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaa,Waliosoma bongo hufundishwa ku cremisha wafaulu pepa with little exposure mwenye master's nje ya nchi ya engineering ni sawa na profesa watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe hakuna waliposema kuwa wamefanikiwa,wewe unawasemea.Habari wadau..
Mbona watu wengi wenye mafanikio wamesoma kayumba?
Hizi shule za kizungu zinakosea nini kuandaa watoto ?
Nimepima sector zote.. kuanzia michezo, business, politics, music, engineering naona kayumba wanaongoza...
Nawaza tu hizi shule za mtoto kubeba begi kubwa na kuchukuliwa na school bus saa 12 asubuh na kurudi saa 10 jioni au saa 12 jioni. Zinaweza kweli kumuandaa samatta au mchezaji hata wa yanga na simba mbeleni
Nawaza diamond wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli
Nawaza magufuli wa mbeleni anaweza toka hizi shule kweli?
Nawaza mwanangu nimpeleke goverment school kisha niwape walimu hela za tution shuleni kwake.. na kisha ada ambayo ningelipa tusiime nijikaze na kujitahidi kumjengea kila mwaka chumba kimoja...
Target kila mwaka chumba kimoja... ili nikishindwa maisha wapate hata pa kupangisha kama nikiondoka duniani...kuliko kupeleka ada shule ambazo imetokea corona ya miezi miwili tu zinanyanyasa walimu. Shule haziruhusu talent zinakomaa na mtoto siku nzima anashinda darasani hapati hata muda wa kucheza
Ndo maana nkwamwambia mtoa mada,Sina uhakika sana na hili ila kwa navyojua mimi ISM haitumii mtaala wa elimu wa hapa tz. Kwa mwenye kujua zaidi atujuze zaidi.
Suala la mafanikio ya mtu halihusiani kabisa na aliposoma, kuna ambao hawajasoma hata kayumba na wamefanikiwa sana.
Mkuu tusiime sio international ungesema tu ni private school labda hatukuelewana vizuri ndo maana. International school si mchezo nakumbuka kipindi niko sekondari tulienda pale ISM ndipo nilijua watu wanasoma wengine tunasindikiza. Watoto wa pale hawana stress kabisa, sio sisi mwanafunzi ana stress, mwalimu nae stress kibao😁😁😁😁. Nakumbuka nimeingia mule stress zote zimekata haha naona watoto wanavyocheza na farasi vile wapo humble sio sisi kutwa nzima mtoto anakimbizana na mwalimuTatizo humu watu mnajikuza sana... ada ya tusiime wasi wasi ila mnaongelea IST kama mnasomesha watoto huko vile. Umeona walimu wa IST wanalalamika hawajalipwa kisa corona?
Soma uzi wangu vizuri aya ya mwisho irudie kuisoma
Na Mimi nakazia hapo,Wewe endelea kujidanganya mkuu, tena watoto wa international wajanja vibaya mno wako ki international zaidi si kama sisi kayumba tunakomaa na mifumo ya elimu ya 1970 huko.
kaishia kuleta orodha ya matajiri wa mali za wizi,mafisadi,wauza ngada na waliopewa mikataba ya rushwa na viongozi mafisadi wa serikali.Naona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
Wewe endelea kujidanganya mkuu, tena watoto wa international wajanja vibaya mno wako ki international zaidi si kama sisi kayumba tunakomaa na mifumo ya elimu ya 1970 huko.
Mkuu,kaishia kuleta orodha ya matajiri wa mali za wizi,mafisadi,wauza ngada na waliopewa mikataba ya rushwa na viongozi mafisadi wa serikali.
mustapha karamagi aliumbuka bungeni kwa kupewa bandari afanye anavyotaka.anapewa mkataba juu ya mkataba.
kuna tajiri mmoja hapo kauziwa magodown kwa milioni 3 pamoja na eneo lake zaidi ya sq mita 200.baada ya kuuziwa kifisadi kaweka hayo mogodown kama bond bank kapewa mikopo ya mabilioni kaongeza kiwanda.
kwenye hao matajiri kuna muuza ngada alikuwa analeta unga kisha anasafirisha fedha ndani ya kontena zinapakiwa kwenye meli zinatoroshwa.
sio kila tajiri alitajirika kihalali kuna wezi,wazulumati,wauza ngada,wauwaji n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwelii mambo mengi ya nini cha mno tutafute pesa wanetu wasome hizo shule tutavuna jasho tulilolipandaMkuu,
Nitajie basi Tajiri yeyote unaemjua asie na skendo hapa bongo.
Unatakiwa kufahamu kua,
Ukishakua na PESA lazima TU watu watasema juu Yako.
Na hayo ulosema ya mikataba ya kifisadi,Rushwa n.k
Kamwe Huwez kuyafanya ukayaweza ukiwa na elimu ndogo kichwani.
Kwahyo,
Suala lazma litabaki pale pale.
ELIMU BORA NDO MSINGI WA MAFANIKIO.
Na elimu Bora utaipata kutoka shule Bora, mitaala Bora,waalimu Bora, wanafunzi wenzio Bora na mazingira Bora.
Tutafuteni hela wakuu, TUSILETE VISINGIZIO HAPA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako umeamini kua ili uonekane umesoma engineering,Medicine au law Ni lazima uonekane umeajiriwa na SERIKALI au KAMPUNI.Naona umekuja kubishana bila sababu huku uzi wangu umeuelewa naongelea tusiime na shule za english medium za kati.. nitajie mtu mmoja aliesoma IST kisha chuo akasoma udsm.. ama ameajiriwa na serikali kama doctor, engineer ama fani yoyote ? Mtaje mmoja tu...
Ilo ndo la muhimu mkuuKwelii mambo mengi ya nini cha mno tutafute pesa wanetu wasome hizo shule tutavuna jasho tulilolipanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushoga upo kila sehemu sio international sio kayumba. Ushoga ni hulka tu ya mtu, tofauti ni international wanachukulia kawaida. Sio huku kwetu kayumba ukiwa na relationship na mtoto wa kike kazi unayo😂😂. Ushoga upo kila sehemu mkuu hilo halipingiki utofauti ni jinsi sisi tunavouchukulia na wao wanavyochukuliaMkuu nastaajabu kuona ata tabia za ovyo za ushoga ndipo zinatokeaga kwa asilimia fulan tofaut na kuona shule za kayumba kuna shoga. Mara waali wAnawafanyia michezo mibaya watoto bad vurugu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaWaliosoma bongo hufundishwa ku cremisha wafaulu pepa with little exposure mwenye master's nje ya nchi ya engineering ni sawa na profesa watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza tukubaliane international schools ni zipi hapa bongo maana naona wengine wanataja tusiime kama international, seriously? Tukiongelea international tuwaongelee akina IST, DIA, BRAEBURN, MIS, ISM, HOPAC and the like...Tusiime sijui St.Marys ni kayumba zilizochangamka [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha akili za ki matanga(ccm) wewUnasemaje IST Ni mfano usio na uhalisia wakati shule ipo hapa hapa Tanzania,
Wazazi tuko nao humu humu mitaani na watoto wao wako pale IST wanasoma.
Au IST nayo sio private school?
Sent using Jamii Forums mobile app