Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe huyo mke wako nikae naye siku mbili tatu nitakupa jibu sahihiKama mada umeielewa toa ushaur
Aliyeandika hii thread hawezi kuwa mwanaume. Yaani hapo wamekutana wanawake wawili wanaishi pamoja na badala ya kupashana kwa khanga sasa wanatumia nyimbo..... Akiwepo mwanaume huu upuuzi huwezi usikia.Na mim sio mwanaume ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] AsanteMkuu, anayechukia ni mkeo, ufafanuzi wakupe wajuz!
Tz si ni kisiwa cha Amani? We uko wapi kwani? Kama issue ni panya road, hao no dk chache tu, la nenda hata pale Buguruni Polisi, UTAIPATA AMANI pale
NimechekaaaaaaaKwanini usimuulize mkeo..au umeona na sisi humu ni wake zako.?we jamaa punguza dharau.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mimi na watoa mada wenzanguWew na Nani ?? Jizungumzie nafis yako tu?? Wew Ni mshamba wa wap bhana ??