Wife aliniamsha usiku wa manane ni mfuatie embe bichi kisa ana mimba

Yani kuna mwanamke akishika mimba ndani ya nyumba wote mume na other family members wote mko kwenye shida.
Wote kama mko na hiyo mimba πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ
Mke atadeka huyo hadi kuchosha.
Nongwa na yeye kama zote .
Kujifanya kuchagua vyakula.
Jamani mimba sio ugonjwa.
Ujauzito ni baraka.

Kwanini unawaelemea wenzio kwa nongwa ΕΌako mama ?! πŸ€”πŸ€”
 
Wengine hadi aje kujifungua familia nzima kama imejitua gunia la mawe mabegani.

Mwanaume usiwajulia wanawake wa aina hiyo utakosa utulivu wa nafsi.
Hata ukilala utakuwa kimagutugutu tu kila siku
Utapelekeshwa wewe ukome.
Mara ajifanye anaumwa kumbe mzima wa afya .
 
Vitu vingine ni kuendekeza ujinga, na wewe ulivyo kilaza ukaenda kutafuta maembe usiku? Mbaya zaidi utakuta hata hiyo mimba sio yako. Kuwa na akili wewe acha utoto.
 
Ndo maana inatakiwa mtu uoe umekomaa akili
 
Mi nilimuuliza "Unadhani wewe ndiye mwanamke wa kwanza nayemuona akiwa na mimba?"

Kabla hajajibu nikaongezea " You got to be rational, andika cravings zako nije nazo nikitoka job. Keep it smart"
Jibu: Okay babe.
Na mtoto akazaliwa bila kusumbuana.
 
Mi nilimuuliza "Unadhani wewe ndiye mwanamke wa kwanza nayemuona akiwa na mimba?"

Kabla hajajibu nikaongezea " You got to be rational, andika cravings zako nije nazo nikitoka job. Keep it smart"
Jibu: Okay babe.
Na mtoto akazaliwa bila kusumbuana.
Mkuu hata Mimi niliwaza nitumie uanaume nikaona hapa nitaliliwa zaidi.
 
Vitu vingine ni kuendekeza ujinga, na wewe ulivyo kilaza ukaenda kutafuta maembe usiku? Mbaya zaidi utakuta hata hiyo mimba sio yako. Kuwa na akili wewe acha utoto.
Hapa Kila mtu ana mzigo wake mkuu. Kama hujawah ambiwa unaweza sema lolote. Kuhusu mimba hata sisi tumezaa Nje hivyo yote heri mkuu
 
Nilimwambia ni mwisho asirudie. Hajawahi fanya Tena!!
 
Mimi nilipiga marufuku kula Pemba. Akawa anafatia madongo ya kichuguu mengi . Nilijua ataugua lakini wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…