kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Hivi una Habari maswali ya “babe umekula nini”yanavyokera yakizidi kila siku.Vipi kwa upande wako mkuu,huwa unamuuliza anaendeleaje na kala nini?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Ahaha mkuu wengine wanapenda sana hiyo,si unaona kama mtoa mada anavyotamani kuulizwa.Hivi una Habari maswali ya “babe umekula nini”yanavyokera yakizidi kila siku.
Siyapendi
Pole nduguSometimes unashukuru Tu unae mtu unamuita wife... mengine majaliwa
Ni kweli watu wako tofauti lakini si kila siku muda ule ule unaniuliza swali lile lile kwa miezi sita mfululizo.hapana kwa kweliAhaha mkuu wengine wanapenda sana hiyo,si unaona kama mtoa mada anavyotamani kuulizwa.
Btw nishawahi kuwa na mpenzi kati ya swali hapendi kuulizwa ni "umekula nini?" Ila kuna mwingine,akawa hadi ananisema sipo romantic kwanini siulizi mambo yake na siku yake,yani hata akienda job anataka niulize "ulifika salama?" So watu wanatofautiana sana.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
📌📌📌📌📌Sometimes unashukuru Tu unae mtu unamuita wife... mengine majaliwa
Swali zuriMabadiliko yalianza vipi tangu uanze kumtongoza na kumlipia mahari hadi kuwa mke wako?