Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Wewe umemjulia hali huwa unampigia mkeo? mwenzio anampigiaga hapa hapo uliposikia wanaongea ni yeye ndiyo aliyempigia mkewe
 
Mtafute huyu jamaa hapa mbadilishane:

 
Mi mwenyewe mambo ya wife kunicheki mara kwa mara sipendi kabisa
 
Natamani kusema lakini nashindwa.

Mkuu, mpende na muhudumie mkeo uone matokeo yake. Nakuhakikishia utakua huna haja ya kukumbushwa kuwahi kurudi nyumbani, yaani muda ukikaribia tu we mwenyewe unajirudisha nyumbani.

Respect...
 
Mbombo ngafu kwa kweli.

Wengine wanalalmika wanabanwa so wanataka uhuru. Ili hali wengine wanalalamika hawajaliwi
 
Ila we jamaa wewe, unapenda kujaliwa kama mtoto.
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.

Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.

So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Kuna kuchapiwa apo
 
Anakupenda sana, anaangalia maisha, anajua akikupa maneno ya mahaba utashindwa kufanya kazi kwa ufanisi na kipato kupungua ndani
 
Pole sana...

Anakuamini na anakupenda ndiyo maana hataki kukufuatafuata wala kukufuatilia...
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.

Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.

So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Nipe mm huyo mkeo na mm nikupe wa kwangu. Yani mm sipendi kufuatiliwa na mwanamke mpaka basi
 
Bro Tafuta ela

Unapaswa kujua tuu wew mpend mkeo na mjali inatosha

Usipend ambalo ujapewa mkuu
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Wewe ulishawahi kujaribu kumpigia au kumtext kwa vitu kama hivyo?
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Kila mtu anapenda kujaliwa na mpenzi wake, mapenzi unayaona matamu endapo mpenzi wako anaonyesha yuko pamoja na wewe.

Kwangu mimi, ninamwona mwanamke ananipenda kama anajibu meseji zangu kwa haraka (kama yuko busy anijibu haraka kwamba ana kazi), saa nyingine ananitafuta yeye (siyo mara zote nimtafute mimi).
 
Back
Top Bottom