Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Kuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.

Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
Hii dunia haiko fair kabisa sijui kwanini, ila nafikiri inakaa hivi ili ku balance nature na ecosystem.
 
Kama alikua hivyo toka uchumba basi ndo alivyo mzoee and jaribu kuongea nae taratibu ila kama hakua hivyo ameanza hivi karibuni basi ujue kuna tukio ulimpiga likambadili
Yote kwa yote pole sana,
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.

Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.

So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Mkuu mkeo anaendana sana na mimi, kwa kuwa huwa sipendi kuchati wala kupigiana simu kama hakuna dharura
 
Hapo ishu ni kuwa hata wewe hujali...sisi wanaume ni viongozi wa wanawake...
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.

Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.

So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Una bahati sana!!
kweli nimeamini kwenye miti hakuna wajenzi
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.


So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Kaka mbona mkeo mzuri sana nikipata mwanamke kama huyo ntanenepa mwanaume hatafutwi tafuta pesa kaka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbadilishane mke na yule jamaa alokuwa analalamika mkewe anapenda attention.
Cc mulwanaka njoo huku mpange mipango na mwenzio.
 
Kuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.

Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
Kama ulikuwa kichwani mwangu. Kwakweli wabadilishane tu.
 
Back
Top Bottom