Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

Vitu kwa ground hua tofauti. Kama hamna mazoea hayo usiige maisha ya wengine.
 
Kuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.

Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
Asante kwa kumbukumbu nzuri,kuna baadhi ya wanaume hapa dunia ni masikitiko tu
 
Kwema wakuu?

Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Huyo mke walikuolea nyumbani?

Au wakati wa uchumba ulizingatia kigezo cha mgegedo tu?

Haya mambo hayafichiki jmn...
 
Yaani hii dunia bhana ' kweli kuimba kupokezana wengine wanatamani attention wengine awaitaki attention
 
.............kujali mtu hakulazmishwi, mshukuru Mungu mnapumua hayo mengne n ziada. Kama anafanya kaz za nyumbani na kulea watoto vzur(anafanya majukumu yake ipasavyo) inatosha hayo mengne n kujipa "presha" tu.
Afanye majukumu yake ya nyumbani, akutafute na ww looh! Na ww kwann urud nyumbani usku wa manane, bas uwe unatoa taarfa tu mwenyewe bila kuulizwa. Mtext umuambie "mama naniii leo nitakawia kurejea nyumbani" hvyo yani.
 
Back
Top Bottom