Hii dunia haiko fair kabisa sijui kwanini, ila nafikiri inakaa hivi ili ku balance nature na ecosystem.Kuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.
Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
Kwani walivyoambiwa wasioe WALIELEWA NINI?
namie naomba Mungu asinipe mume jeuri kama wewe..!
Nimeskia tu kuhuzunika Mimi, Sina mtu hapa..!Sa itakuaje laazizi 🤷🏾♂️
Mkuu mkeo anaendana sana na mimi, kwa kuwa huwa sipendi kuchati wala kupigiana simu kama hakuna dharuraKwema wakuu?
Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.
So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Nimeskia tu kuhuzunika Mimi, Sina mtu hapa..!
Una bahati sana!!Kwema wakuu?
Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
Kwa upande wangu, nikiishaondoka asubuhi home wife hana habari na mimi kabisa labda itokee tu emergency ndio anaweza kunitafuta. Yaani mimi naweza hata kukaa nje ya nyumbani mpaka usiku wa manane na wife wala hata asipige kuniulizia.
So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Kaka mbona mkeo mzuri sana nikipata mwanamke kama huyo ntanenepa mwanaume hatafutwi tafuta pesa kakaKwema wakuu?
Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion.
So nawaza, hapa napendwa au ni bora tu siku ziende?
Hii jinsia hapana kwakweli,[emoji2211]Wanawake nao ni washenzi unaweza kukuta siku anatoka kutomb.......ndio anakupigia simu za mahaba.....
Kama ulikuwa kichwani mwangu. Kwakweli wabadilishane tu.Kuna mwenzako alianzisha uzi kuwa mke wake anamkera sana kwa kuwa anampigia simu kila mara na kumjulia hali na akiwa nyumbani anamganda kama ruba. Yani anataka attention yake kila muda.
Mtafute mbadilishane wake. Anaitwa mulwanaka
We toa pole tu, siku yako yaja[emoji1787]Pole ndugu