Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya


Tofauti yako na huyo jamaa ni hela
 
Nitakutakia mema kuanzia mwaka 2025, kwa sasa teseka teseka kidogo.
Shindwa pepo,shindwa wewe fire fire fireeeeeeee baba uwa Leta Moto ulao baba piga vunja baba fire fire fireeeeeeee.
 
Shindwa pepo,shindwa wewe fire fire fireeeeeeee baba uwa Leta Moto ulao baba piga vunja baba fire fire fireeeeeeee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na bado!
 
Raha ya hayo maswali yawe unajisikia kula nini, chukua hela au nakutumia ukanunue ule.....

Sio umekula nini umekula nini umekula nini kavu nyauuu nmekula majani
Asante kwa ufafanuzi wa kina ES.

Kuna namna unaweza kuulizwa hili Swali umekula nini kwa vitendo.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ‘†πŸ‘†πŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΏπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…