mustafayahaya
New Member
- Jul 22, 2023
- 4
- 2
mke mwema anae mjua mungu atasema ivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga ndugu, huyo ndiyo mke wa kuishi naye kwa Dunia ya leo, sisi tunahangaika mno kuwapata kama hao ndugu yangu - Mwanamke mwenye hofu ya Mungu ndiye mtunza familia.Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Wasikie tushukuru Mungu kwa mkeo kumpenda mungu, hutasalitiwa
2023. David Harvey say " no God" au alisema "hakuna Mungu"Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Sadaka na fungu la kumi ulipeleka wewe mwenyewe sasa kunatatizo gani nabii wako akiitumia na bebi wako! Unatakiwa umshukuru kwa kurejesha fadhila kwa waumini wake.Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Kwani Mungu ana machine ya kuchakata mafuta?Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Sawa ndio kila mwisho wa wiki kwenda kwenye mkesha kwa baba mchungaji?Unataka kwenda mbinguni au hutaki?
mchungaji anamega itakuaNaona umewaza mbali sana kuona anajipodoa na kuvaa nguo nzuri kila jumapili huku akisema anampenda Mungu kuliko wewe, kuna kitu umeng"amua sio bure
Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba sana. Tunahitaji kujitoa haswaaaa!Sawa ndio kila mwisho wa wiki kwenda kwenye mkesha kwa baba mchungaji?