Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Ndio uikalielie nusu umvunje baba mchungaji wa watu 😂🙌Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba sana. Tunahitaji kujitoa haswaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uikalielie nusu umvunje baba mchungaji wa watu 😂🙌Njia ya kwenda mbinguni ni nyembamba sana. Tunahitaji kujitoa haswaaaa!
Hebu muache baba mchungaji tafadhali🤣Ndio uikalielie nusu umvunje baba mchungaji wa watu 😂🙌
Mafeminist watakupuuza na kukutukana ila ndugu yangu simamia kile unacho amini. Kukuambia hivyo kunakitu kinamnufaisha kupitia huo upendo anao usema. Yaani huyo anadinywa na mchungaji na Mlango pekee anao utegemea kupita ili akadinywe ni huo wa kumpenda muumbaNimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Kuna wanaume watakubishiaWanaanzaga hivyo hivyo baadae wanahamia kwa wachungaji.
Mvizie Mungu umkate mitama umwambie aachane na mke wako.Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Kama ni kweli katoa kauli hiyo basi hapo una mke bora maana kama anampenda Mungu vizuri basi jua anakupenda pia wewe maana ibaada njema huanzia nyumbaniNimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Lazima mchungaji anamega maana mtu anampenda Mungu kwenye nafsi sio matangazomchungaji anamega itakua
Hakuna mke mwema anayesema hivyo, mke mwema ni asiyesema hivyo.mke mwema anae mjua mungu atasema ivo
Inategemea mlifikishana vipi huko. Anatakiwa kumpenda Mungu kuliko kitu chochote na wewe kama anavyoipe da nafsi yake. Hicho ndicho kipimo cha upendo ndani ya Kristo.Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Kama huwezi kumpenda jirani yako unaemuona basi huwezi kumpenda Mungu, alisema YesuNimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Unalinganisha visivyo fanana.Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Ndio walivyo kwani Cha ajabu nini? Hao ni vivuli au umesahau ya Ayubu na Ibrahim? Ya Adam na Eva Je?Nimefikiria nikate mahitaji yote muhimu ya nyumbani ili apewe na huyo anayempenda.
Kweli nimeamini vijana kataeni ndoa
Jibu Zuri sanaDeal na huyo anayempenda. Kama vipi muue huyo jamaa anayempenda