Wife kaninunia kisa hiki

Kumbe ulishakuwa sugu kama goti punda[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: amu
Huwezi ukanyoa mwenyewe? Na wewe unamnyoa? Na kama unamyoa chunga usikate sehemu nyeti.
 
Naomba namba yake ya simu ili nimpe consultation mkuu. Baada ya hapa she won't be the same mkuu.
 

 
Ila wanawake wanaopenda kujiliza liza huwa siwaelewi.
Kuna mmoja hapa jana aligaragara chini, mwili mzima michanga, eti kaliaaaa hadi mashetani yamempanda, sababu ya yote hayo kashika simu ya mume wake kakuta anachat na mchepuko.

amu mbona na wewe uliwai galagala pale.......
 
Sasa kama kila yakiuta anayanyoea yeye kwa nini ulifanya hivyo? Wakati anaondoka kwa nini hukumwambia akunyoe?
 

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]huyu mwanaume hana aibu yani ana msaliti mbeauty kama amu jamani ....
 
kweli kazi imo tanzania hi yetu, na ndio sababu sisi ndio kwa sasa weye uchumi mkubwa duniani, sijui ni kazi ya kufanya hatuna au nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…