Wife katoka out bila kunijulisha

ila mabloo wenye wake mna wivuπŸ˜…πŸ˜…yani hata jirani ukimchangamkia mkewake yeye ananuna πŸ˜…Sasa jamani wakezenu tusiwasalimie?

ilatunacho wafanyaga wake zenu mkiwa kaziniπŸ˜…
Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu
 
Pole mkuu hawa ndivyo walivyo
 
Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu

Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu
tunawala sanaa
sema went wake mnafeli ndiomana tunawagongea
mkeo humgaii hata elf kumi akale chips kuku?Hadi watuombe sisi

mnawawekea maviroba ya unga na mchele tuu kama masela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…