Wife katoka out bila kunijulisha

Wife katoka out bila kunijulisha

ila mabloo wenye wake mna wivu😅😅yani hata jirani ukimchangamkia mkewake yeye ananuna 😅Sasa jamani wakezenu tusiwasalimie?

ilatunacho wafanyaga wake zenu mkiwa kazini😅
Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu
 
Niko mjini Dublin-Ireland kikazi, so hii sikukuu ya pasaka haijanikutia huko bongo.

Juzi ijumaa tuliongea kwa kirefu tu na wife aliyeko huko bongo na nikawatumia kama pound 1000 hivi kwa ajili ya sikukuu coz aliniambia kuna wageni wake wangemtembelea.

Leo siku nzima hajanitafuta, jioni hii kwa saa za hapa kwetu nikasema nimtafute, akapokea ila alikua kwenye kelele mno hatukusilizana.

Baada ya like 1 hour hivi nikaona niwapigie tena akapokea mtoto wetu mdogo akasema walikua out sijui wapi huko mbezi beach, nimeskia wife anamgombeza dogo kuwa aache kisabengo cha kuongea mambo ambayo hajaulizwa.

Je wakuu hili limekaaje la mke wa mtu kutoka out bila mumewe kutokuwepo?
Pole mkuu hawa ndivyo walivyo
 
Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu

Oa mke kwanza halafu uje utuambie unajiskiaje akiwa na mazoea na wanaume wengine. Mwanaume bila ya wivu ni sawa na khanithi tu
tunawala sanaa
sema went wake mnafeli ndiomana tunawagongea
mkeo humgaii hata elf kumi akale chips kuku?Hadi watuombe sisi

mnawawekea maviroba ya unga na mchele tuu kama masela
 
Back
Top Bottom