Wiki hii nakuja Dar kumpuzika,naomba kufahamu sehemu nzuri ya kumpuzikia

Karibu kwangu na hakutakuwa na chochote kitakacho endelea wewe utakuwa kama mgeni tu

Karibu sana.
 
Mm mzima kabisa jirani naona unamuelekeza kitaani kabisa

Ndio jirani ninamkaribisha mtaani hata akijisikia mpweke anaweza kuomba kampani kwa majirani, raha ya hili jiji uwe na watu wenye connection [emoji23]
 
Ndio jirani ninamkaribisha mtaani hata akijisikia mpweke anaweza kuomba kampani kwa majirani, raha ya hili jiji uwe na watu wenye connection [emoji23]
Hahahah na mjini jirani lazima uwe na connection
 
Zenziberi...Tena kwa sasa kama una hela yako unaenda itumbua kwa hotel Verda...

Serengeri...Moja ya sehemu maridadi sana ya kutazama uzuri wa nature...

Magoroto...Nature and adventure
Ebu nipeleke uko [emoji847][emoji847]
 

Keko, Ukonga na Segerea. Karibu sana Mkuu.
 
Kama hupendi ulabu nenda starlight hotel
 
Ebu nipeleke uko [emoji847][emoji847]
Heheh we si ulinikimbia besidei ya Sak...

Ila one day tatafuta wewe, Magoroto will do when it aint wet or winter season in Lushoto...
 
Heheh we si ulinikimbia besidei ya Sak...

Ila one day tatafuta wewe, Magoroto will do when it aint wet or winter season in Lushoto...
Can't wait kwa kweli [emoji847][emoji847]

Sijakukimbia bwana
 

Round about ya Kawe - Piccolo Beach kuna vyumba vya shilingi 50,000/- single, pale panaweza kumfaa zaidi.

Jioni anatembea zake kwenda Kawe Club kula samaki, then anarudi kulala.

Kama hataki fujo fujo.
 
Zenziberi...Tena kwa sasa kama una hela yako unaenda itumbua kwa hotel Verda...

Serengeti...Moja ya sehemu maridadi sana ya kutazama uzuri wa nature...

Magoroto...Nature and adventure

Hivi huyu Muungwana ameshaikamilisha hii sehemu, na ile water Park imekamilika? Hii sehemu ni maridadi sana aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…