Wiki hii nakuja Dar kumpuzika,naomba kufahamu sehemu nzuri ya kumpuzikia

Wiki hii nakuja Dar kumpuzika,naomba kufahamu sehemu nzuri ya kumpuzikia

Njoo upumzike mahali pema peponi hautojutia
 
Chuo mnafunga sio!? Sasa si uende kwenu Tukuyu huko Dar hapafai
 
Karibu kichenza hotel, kichenza hotel ni hotel nzuri inayomjali mteja, inapokea wateja wa aina zote wanawake kwa wanaume, iwe single ama couple.. Kichenza hotel ipo karibu na fukwe mazingira safi yanayovutia utapulizwa na upepo mwanana yote haya yatakufanya ufurahie mapumziko yako, Pia tuna vyakula mbalimbali kutoka baharini na nchi kavu utapata kambakoch huku rosti la pweza likikusubiri, ngisi, uduvi, kaa, sangara, n.k, pia tuna nyama kama vile nyama ya bata,mbuzi,kuku,ng'ombe,bata mzinga n.k... Kichenza hotel hatukuachi hivi hivi tutakuburudisha na vinywaji laini vitakavyokufanya uhisi maisha yako ni yenye furaha siku zote, tuna vinywaji kama vile juice,red wine,wisk,cooled water,drispon, lygo na vinginee viiiingi vya kukupendeza... Karibu kichenza hotel gharama zetu ni nafuu sana...
Asanteee
 
Jamani wa Dar hamna
ukipata unijulishe na mimi nipo njiani napeleka mang'ombe yangu kuuza huko daisalama. Niko njiani hivi sasa na lori.


{Kale kampango ndio kimya bebeshi}
 
Kwa budget yako nakushauri ufikie sinza au kijitonyama, au mwenge hotel zipo nzuri na bei rahisi 40k - 100k, uanaweza kufikia star city hotel, double view, mesuma, king D, ila nakushauri fikia Azania hotel ipo sinza kwa remy unaweza kuigugo ukafanya reservation...sababu ya kukushauri maeneo hayo ni kuwa itakuwa rahisi kwako kwenda sehemu nyingi za kuvutia kama vile malls, sehemu za starehe n.k unakuwa upo katikati ya popote utakapohitaji kwenda ningekushauri mbezi beach ila hoteli zao bei mkasi kidogo
 
Karibu buliyaga wailes matako bar kisuma huku kumechangamka sana uta enjoy vacation yako karibu temeke
 
Kwa budget yako nakushauri ufikie sinza au kijitonyama, au mwenge hotel zipo nzuri na bei rahisi 40k - 100k, uanaweza kufikia star city hotel, double view, mesuma, king D, ila nakushauri fikia Azania hotel ipo sinza kwa remy unaweza kuigugo ukafanya reservation...sababu ya kukushauri maeneo hayo ni kuwa itakuwa rahisi kwako kwenda sehemu nyingi za kuvutia kama vile malls, sehemu za starehe n.k unakuwa upo katikati ya popote utakapohitaji kwenda ningekushauri mbezi beach ila hoteli zao bei mkasi kidogo
Jirani yangu habari yako
 
Tafuta hoteli ya ufukweni uone tofauti ya ziwa na bahari! Karibu sana Dar mwana kwetu!
 
Kwa budget yako nakushauri ufikie sinza au kijitonyama, au mwenge hotel zipo nzuri na bei rahisi 40k - 100k, uanaweza kufikia star city hotel, double view, mesuma, king D, ila nakushauri fikia Azania hotel ipo sinza kwa remy unaweza kuigugo ukafanya reservation...sababu ya kukushauri maeneo hayo ni kuwa itakuwa rahisi kwako kwenda sehemu nyingi za kuvutia kama vile malls, sehemu za starehe n.k unakuwa upo katikati ya popote utakapohitaji kwenda ningekushauri mbezi beach ila hoteli zao bei mkasi kidogo
Ushauri wako nimeupenda,asnt nitaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom