Wakati tunampatia ile nafasi hatukujua kama ni Boya kiasi kile,
Mchukueni tu
......kama nyie mnavojifariji kila siku wanachama na viongozi wenu wa upinzani wanavyohamia CCM...
......Trust me...hakuna jipya chini ya jua...ngoja aende kupauka ngozi huko anakokwenda
Kwa mwendo na tabia wanaohama upinzani kwenda CCM huwa hawana hoja zozote za maana, which tells kwamba wananuliwa...na pia ni magarasha tu!Naye kanunuliwa?
Jamaa uko vizuri sana upstairsKama sio Membe au Mwandosya sijui...
kwanini unahisi wakiondoka wanaccm kwenda upinzani ni sawa na wa upinzani kwenda ccm si sawa??inamaana huko upinzani mko perfect sana kiasi kwamba hamkosei baadhi ya mambo??......
......wale ni mijusi ya mamba
.....kwanini unahisi wakiondoka wanaccm kwenda upinzani ni sawa na wa upinzani kwenda ccm si sawa??inamaana huko upinzani mko perfect sana kiasi kwamba hamkosei baadhi ya mambo??
Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Wapo watu wa kufanya CDM ipate Mshtuko endapo wakiondoka,Ndiyo maana nikakwambia mshtuko mlionao nimkubwa sana maana hata maneno yako tu yanasadifu! Jipangane na hayo maboya mengine mliyo nayo maana najua siku wakiondoka nao utawaita maboya!
Dah....itakuwa che nkapa [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
Ccm sio mtu ni watuHabari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
Mkuu huu n mjadala Mwngne mpana...unahitaj muda kuujadili...ngoja tusitoke nje ya mada ya mkuu swissme....Sawa mkuu, una haki ya ku-present au kusema anything because you do not pay for your faculties.Hata hivyo as recent as last week REPOA wametoa taarifa za kiutafiti zinazounga mkono za TWAWEZA ambazo zinaonyesha kwamba uongozi wa Magufuli umeweza kupunguza rushwa kwa kiwango kikubwa.Who would not support such a government,nadhani ni mjinga tu mkuu.
HahahahaNaona sasa kuna Umuhimu wa kuwa na Dirisha la usajili kwa hawa wanasiasa kama ilivyo kwenye Michezo.
.......Hamuna jipya nyie
Habari zilizotufikia hivi punde
Kuna kiongozi moja aliyewai kushika nyazifa za juu kabisa kwenye chama na nchi anakihama chama cha mapinduzi CCM kwa kutoridhika na uongozi na nchi inavyokwenda kwa sasa kwa habari zaidi nitaendelea kuzileta hapa
Mwanahabari Huru
.....Ccm sio mtu ni watu