Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Alikuwa na mihemko sana, akajisahau, atakuwa ameshtuka spidi aliyokuwa ameanza nayo alikosea, huu sio wakati wa Magufuli, hizi ni zama za kula kwa urefu wa kamba yako..
Alinikera sana alipoamrisha yule RC Dodoma apande jukwaani haraka kwenda kujibu maswali yanayohusu ushuru mpakani mwa Dodoma na Iringa.Alikuwa na mihemko sana, akajisahau, atakuwa ameshtuka spidi aliyokuwa ameanza nayo alikosea, huu sio wakati wa Magufuli, hizi ni zama za kula kwa urefu wa kamba yako..
Acha awanyanyase mpaka wakome...Alinikera sana alipoamrisha yule RC Dodoma apande jukwaani haraka kwenda kujibu maswali yanayohusu ushuru mpakani mwa Dodoma na Iringa.
Ndiyo ukweli kabisaPaul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE ni miongoni mwa vijana wa Kitanzania wasio na adabu wala maadili licha ya kujidao ni walokole
Kesho tunae kanda ya ziwa,alikuwa bize kuratibu ziara yake kanda ya ziwa kuanzia trh 09/11/ mpaka trh 14/11Alikuwa na mihemko sana, akajisahau, atakuwa ameshtuka spidi aliyokuwa ameanza nayo alikosea, huu sio wakati wa Magufuli, hizi ni zama za kula kwa urefu wa kamba yako..
Kabisa!Alikuwa na mihemko sana, akajisahau, atakuwa ameshtuka spidi aliyokuwa ameanza nayo alikosea, huu sio wakati wa Magufuli, hizi ni zama za kula kwa urefu wa kamba yako..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Panya lazima mtafute pa kujifichaAlinikera sana alipoamrisha yule RC Dodoma apande jukwaani haraka kwenda kujibu maswali yanayohusu ushuru mpakani mwa Dodoma na Iringa.
Huyo mkolomije na busu wapi na wapiWe subiri atokeze tena,ufukunyuku siyo mzuri....kajificha unachungulia,mwisho ukutane na bisu la jicho bure
Soma vizuri Mkuu...ni bisuHuyo mkolomije na busu wapi na wapi
Kesho tunae kanda ya ziwa,alikuwa bize kuratibu ziara yake kanda ya ziwa kuanzia trh 09/11/ mpaka trh 14/11
Jiandaeni kisaikolojia
Hapana. Kamuuliza, ^Mbona umepoa sana comrade? Nini mbaya? Hebu niambie tu, Nape kakutisha tena?^Kabisa!
Majaliwa atakuwa kamwambia dogo hii ni selikali ya mapaka nenda taratibu