Wiki moja imepita toka Makonda atokeze kwenye vyombo vya habari. Je, huu ukimya unamaanisha nini?

Wiki moja imepita toka Makonda atokeze kwenye vyombo vya habari. Je, huu ukimya unamaanisha nini?

Tumempiga Spanna kwenye kile cheo cha Katibu Mwenezi wa CCM mpaka ametemwa. Sasa tusipoe watu wa Arusha twende kazi tumpige spanna Bashite
Tulipiga spana wakasema haiwezekani kile cheo ni kikubwa sana.

Watu wanacheza na Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu.

Huyu Bwana akatubu tu ndio atakuwa huru.
 
Back
Top Bottom