Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Division zero anaweza kupitia report ya CAG?Anaipitia Ripoti ya CAG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Division zero anaweza kupitia report ya CAG?Anaipitia Ripoti ya CAG
Fagia fagia kabisa huko! ukitoka huko, kasafishe kaskazini.
Chama kimenyamaza automatically na yeye ananyamaza, ni kama mfumo wa redio ulivyo spika haiwezi kusema kama hakuna input kwenye microphoneDogo sana yule hawezi pandishia wakubwa mabega
Mna mkweza sana huyo fala! Wajibu wa katibu uenezi wa chama hicho unauelewa jombaa? Huyo ni MC wa chama hana tofauti na MC wa harusi![emoji23] [emoji23] [emoji23] Panya lazima mtafute pa kujificha
Anajua kusoma kwa kutulia kwani?Anaipitia Ripoti ya CAG
😁😁😁😁Akikurupuka huko mafisadi kazi wanayoAnaipitia Ripoti ya CAG
🤣🤣🤣🤣Una dharau sana weweAnajua kusoma kwa kutulia kwani?
Sasa kumekuchaaaaAlikuwa na mihemko sana, akajisahau, atakuwa ameshtuka spidi aliyokuwa ameanza nayo alikosea, huu sio wakati wa Magufuli, hizi ni zama za kula kwa urefu wa kamba yako..
Mkuu acha aendelee anavyofanya kama atavuruga CCM si ndio itakuwa vizuri zaidi ? Acha aharibu kabisa….si ndio furaha ya Wengi? HahahahaHuyu bwanamdogo anatakiwa atumie akili, halmashauri kuu ya CCM ina makatibu kadhaa siyo yeye tu, kuna katibu wa uchumi na fedha, kuna wa mambo ya nje, yeye ni wa itikadi na uenezi arejee hob description ajue mipaka ya kazi yake. Shida ni kwamba huyo bwana hajui hata majukumu yake na hataki kuyasoma na kuyaelewa. Aliyeanza huu upuuzi ni Polepole kipindi cha mwendazake. Polepole alianzisha kipindi Channel Ten kuwapigia viongozi hata usiku watatue matatizo ya wananchi kwa njia simu. Huu ni aina ya ushamba na kuingilia majukumu yasiyokuhusu.
Je amekiwasha? Weka hapa matamko yake ya kihayawani tuyaoneAnaenda kukiwasha Kanda ya Ziwa stay tuned Leo.
Comrade Mwenezi Makonda karibu Kanda ya Ziwa
Ndugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima. --- Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023. Mikoa...www.jamiiforums.com
Ujifiche kumuogopa mtu mwenye msambwanda halafu hana marinda?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Panya lazima mtafute pa kujificha
Tumempiga Spanna kwenye kile cheo cha Katibu Mwenezi wa CCM mpaka ametemwa. Sasa tusipoe watu wa Arusha twende kazi tumpige spanna BashiteJe, Waziri Mkuu Majaliwa amemuweka Gavana?
Maana mara ya mwisho alimtembelea Waziri Mkuu kisha akaenda bungeni kwa mwaliko wa Spika.
Toka hapo hatujasikia tena zile kauli zake za KIFEDHULI!!
View attachment 2808107
JF tuendelee kumpiga spanna huyu Zerobrain
Sisi ni washindi😂😂😂Tumempiga Spanna kwenye kile cheo cha Katibu Mwenezi wa CCM mpaka ametemwa. Sasa tusipoe watu wa Arusha twende kazi tumpige spanna Bashite