Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
Ndoa bwana. Unaishi na mtu ila moyoni una siri nyingi kiasi unajiona haupo salama, inafika mahali unaanza kuishi kwa matumaini na kujifariji kwamba ipo siku utakuja kuishi bila ya huyo... Nyie ndoa ikikosa kibali machoni pa Mungu ni mateso mazito hujapata ona zaidi utayaona ukiwa tyr umeyavagaaBinadamu ni kiumbe hatari sana, zaidi ya mnyama. Unaishi na mtu kumbe anameza madonge na hakuambii...dah[emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu!
UKIMWI ✅Mabega ✅
😆😂😂😂😂😆😂😂😂😂😄😄😄Shida ilianzia hapa Sasa ni muda wa kula matunda uliyoyapanda😂
"Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.
Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.
Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.
Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋"
Shangazi kazua balaa😆😂😂😂😂😆😂😂😂😂😄😄😄
Pole sana Mkuu, huyo ni Mshangazi kabisa sasa, na ukiyapatia kuwapelekea moto utapewa Kila SikuHapana mkuu mimi ni A+ alafu huyu madam ni wa 87
Huu mtegokama utakuwa umeathirika ni PM kuna mtu huwa anatibu huo UKIMWI na unapona kabisa.
Dalili za ukimwi zinaanza kuonekana baada ya muda gani. Miezi miwili haitoshi mtu kuona dalili? Wataalamu tusaidieni hapaNipo nae miezi miwili mkuu imagine that situation....!
Yanaondoa sonona?Usisahau kula MACHENZA.
Tayari nishaweka mkuuUnalialia nini mkuu? Mbona mwenzako haogopi na anaumwa?
Anyway, ungeweka picha ya hizo dawa tukwambie kama ni zenyewe au la
Mtu anayetumia Dawa vizuri hawezi ambukiza mtu kwa Mujibu wa Wataalamu wa Afya.Habari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Ni arv mkuuDawa za vidonda vya tumbo zinaishia na neno .... plazo., ... zole.. chunguza.
Sileti utani mkuu ndio mana nimekuja hapaWewe leta utani tu
Atakuja kukuua wewe
Toka nduki
😝
kumwambia tena ni kaziAisee Kuna dogo anajichanganya kwa demu Moja hapa mtaani na ni positive watu wanamwangalia tu....
Daaaah asanteBila shaka unaishi na jimama kijana wa watu, pole
Inaweza ikachukua hata miaka mitano mkuuDalili za ukimwi zinaanza kuonekana baada ya muda gani. Miezi miwili haitoshi mtu kuona dalili? Wataalamu tusaidieni hapa
MwambieniAisee Kuna dogo anajichanganya kwa demu Moja hapa mtaani na ni positive watu wanamwangalia tu....