Wiki sasa sina amani

Wiki sasa sina amani

Shida ilianzia hapa Sasa ni muda wa kula matunda uliyoyapanda😂
"
Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.

Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.

Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.

Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋"
 
Poor kama poor jina limekuponza mr poor brain.😂😆😂😆😆😆😆😆 Poor umeyatimba na ukimwi unao wewe anza kuandaa tumbo la kumeza pipi.
 
Binadamu ni kiumbe hatari sana, zaidi ya mnyama. Unaishi na mtu kumbe anameza madonge na hakuambii...dah[emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu!
Ndoa bwana. Unaishi na mtu ila moyoni una siri nyingi kiasi unajiona haupo salama, inafika mahali unaanza kuishi kwa matumaini na kujifariji kwamba ipo siku utakuja kuishi bila ya huyo... Nyie ndoa ikikosa kibali machoni pa Mungu ni mateso mazito hujapata ona zaidi utayaona ukiwa tyr umeyavagaa

Nyie nyie nyie
 
Shida ilianzia hapa Sasa ni muda wa kula matunda uliyoyapanda😂
"
Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania.

Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi.

Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini dasalam.

Nakuachaje kwa mfano. Kwa hizi starehe.... 😋😋😋😋😋"
😆😂😂😂😂😆😂😂😂😂😄😄😄
 
Mdogo wangu Poor Brain , usiogope sometimes tunajifunza kupitia uzoefu na maumivu, ondoa wasiwasi nenda kapime ujue mbivu na mbichi na kama utakuwa umeathirika ni PM kuna mtu huwa anatibu huo UKIMWI na unapona kabisa. Usigope na wala usiishi kwa hofu. Ukishaligundua tatizo litafutie ufumbuzi.
 
Habari za muda huu ndugu zangu,

Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.

Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.

Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..

Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.

Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..

Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.

Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?

Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...

Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...

Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Mtu anayetumia Dawa vizuri hawezi ambukiza mtu kwa Mujibu wa Wataalamu wa Afya.
 
Back
Top Bottom