Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Acha kuwadanganya watu humu yaani uzi mzima usiulize dalili za ukimwi zinaanza kuonekana baada ya muda gani maana ndio kitu cha kwanza mtu akipitia hali huanza kuuliza mara kwa mara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mimi sitaki hata kuonana na huyu dogo kama kweli kaumia na ana ukimwi ana PM nitampa mawasiliano na Jamaa bila hata kuonana naye.Huu mtego
Hivi dogo upo serious au umeamua kuchangamsha watu ?Daaaah asante
Huyu Yuko seriousHivi dogo upo serious au umeamua kuchangamsha watu ?
VizuriNa Mimi sitaki hata kuonana na huyu dogo kama kweli kaumia na ana ukimwi ana PM nitampa mawasiliano na Jamaa bila hata kuonana naye.
miezi 3 ila siku hizi hata wiki tekno imekuaInaweza ikachukua hata miaka mitano mkuu
Sio kwelimiezi 3 ila siku hizi hata wiki tekno imekua
tena poor lower brain@Poor kama poor jina limekuponza mr poor brain.😂😆😂😆😆😆😆😆 Poor umeyatimba na ukimwi unao wewe anza kuandaa tumbo la kumeza pipi.
Aje chap kwa haraka nimpe connection ili apate solution, lakini sasa hajapima ndio tatizo na amekuwa Muoga tuHuyu Yuko serious
😄😂😂😂😂😂😂😂😂😂tena poor lower brain@
Wewe jamaa Ukimwi unatibika kweli 😂❎Aje chap kwa haraka nimpe connection ili apate solution, lakini sasa hajapima ndio tatizo na amekuwa Muoga tu
Wewe ni Poor brain kweli🤣🤣.sasa unaogopa nini kama ulipokuwa unapanda mchongoma ulitegemea kuota mperaHabari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
Niamini Mimi✅Wewe jamaa Ukimwi unatibika kweli 😂❎
Yuko wapiNiamini Mimi✅
Naweza nikakupa namba yake tu PM ukawasiliana naye. Yupo hapa hapa JijiniYuko wapi
SawaNaweza nikakupa namba yake tu PM ukawasiliana naye. Yupo hapa hapa Jijini
Mimi hata sitaki nimjue huyo Mgonjwa atajuana na jamaa tu lakini cha msingi awe tu vipimo vya Hospital waone wanaanza kupeana tiba.Sawa
Tiba inachukua muda gani?Mimi hata sitaki nimjue huyo Mgonjwa atajuana na jamaa tu lakini cha msingi awe tu vipimo vya Hospital waone wanaanza kupeana tiba.
Tunazungumzia dalili mkuu sio virusi kuanza kuonekana kwenye vipimomiezi 3 ila siku hizi hata wiki tekno imekua