Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Umepima?Nipo salama salimini....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepima?Nipo salama salimini....
Naam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaahUmepima?
Naam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaahUmepima?
Ni jambo la kumshukuru Mungu mdogo wangu next time, hiyo Mishangazi achana nayo itakuharibia future yako tu. Kwa sababu hamtodumu hata miaka miwili au mitatu, ukute linakuhonga wewe na lenyewe linahongwa hapo ni full kuchafuliana future tuNaam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaah
Mungu ashukuriwe hongera sanaHabari za muda huu ndugu zangu,
Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.
Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.
Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..
Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.
Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..
Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.
Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?
Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...
Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...
Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA
MREJESHO wakuu .... Nipo salama salimini na nimepima kipimo cha damu kubwa...
😁😁😁umenusurika kuingia cha kikeUmenikumbusha Kuna dada mmoja muuza uji mtaani nilikua namzimia kinoma sasa mi siyo mpenzi wa uji lakini nikaanza tabia ya kunywa uji kila siku siku moja nimempa hela nimesimama nae karibu akafungua pochi yake ili anipe chenji eeh bana wee si nikaona kikopo cha ARV
Nilipiga zile breki za katuni
Ndugu yangu achana na masuala ya uzinzi yatakupeleka pabaya hayaNaam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaah
Sana mimi nilikua natafuta albamu ya picha ndo nakutana na hayo makablasha yapo chini ya wigi huko kwa droo mkuu...
Japo hatufahamiani ila kiubinadamu nimefarijika sana kwa habari kama hii,yani mpaka machozi yamenilenga lenga,Naam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaah
Kapime afu acha uzinziNaam mkuu nipo poa kabisa alhamdullilaah ahahaha daaah
Hilo lilikuwa ni funzo kwake ila kwasababu ni bin adam atasahau tenaJapo hatufahamiani ila kiubinadamu nimefarijika sana kwa habari kama hii,yani mpaka machozi yamenilenga lenga,
Mungu akulinde na atulinde sote In Sha Allah,
Life is a Gift.
Point kubwa kabisa ipo hapaNdugu yangu achana na masuala ya uzinzi yatakupeleka pabaya haya
Ni arv mkuu
Je! Yaani jitu limukuambukiza kwa makusudi eti uliuluze taratibu !Then, Litakuletea aina zote za vvvu. Hivi duniani kuna maumivu kama hayo ? Mtu kakuletea kifo eti mjadili.Ni kweli kabisa!
Cha kwanza, kabla ya Vyote anatakiwa Kuvunja ukimya kwa Upole amuulize mwenzake kwa ukimya sana Bila kuonyesha Hasira, Kukwazwa wala kuwa Disappointed, Na kuonyesha kwamba Hajali hali yake Kama ni muathirika au Lah na kumuambia amuambie Ukweli, naumuapie kabisa kama kwa vyovyote atakavyokuwa hali yake ataendelea kumpenda na hatamuacha...
Nina Uhakika kwa 100% lazima atamuambia Ukweli...
Pili, Kwa wagonjwa wanaotumia dawa kila muda fulani huwa wanachukuliwa Damu kwa ajili ya kipimo cha RNA PCR kwa ajili ya Kuangalia HVL (HIV viral Load) yaani wingi wa Virusi ndani ya Damu..
Kama itatokea Akawa na Idadi ndogo sana ya Virusi kwenye Damu,Mara Nyingi HVL ikisoma TND (Target Not Detected)..
Uwezo wa mtu huyo kumuambukiza Mwingine huwa Ni mdogo sana yaani ni chini ya 1%
Kwahyo kama anatumia Dawa Vizuri na Amepima HVL majibu ni TND asiwe na hofu kabisa
Ameen .. japo haikua rahisiMungu ashukuriwe hongera sana
Mkuu nipo salama salimini banaJe! Yaani jitu limukuambukiza kwa makusudi eti uliuluze taratibu !Then, Litakuletea aina zote za vvvu. Hivi duniani kuna maumivu kama hayo ? Mtu kakuletea kifo eti mjadili.
Naelewa ila mshukuru sana MunguAmeen .. japo haikua rahisi
Daaah mkuu haikua rahisi ila kuna watu wanajua kushawishi na hapa sasa nina amani nawaza tu ni jinsi gani nitamwambiaJapo hatufahamiani ila kiubinadamu nimefarijika sana kwa habari kama hii,yani mpaka machozi yamenilenga lenga,
Mungu akulinde na atulinde sote In Sha Allah,
Life is a Gift.
Ndio mkuu sasa nina amani hata chakula kinapita vzr maana nilikua sipo comfortable kabisa...Naelewa ila mshukuru sana Mungu