Wiki sasa sina amani

Wiki sasa sina amani

Habari za muda huu ndugu zangu,

Wakuu nina week sasa nimekuwa na hali ya unyonge tangu nikutane na kopo la vidonge kwenye droo la huyu mwenzangu.

Hali ambayo imenistua zaidi hivi vidonge nina asilimia mia ni vya HIV.

Kuna siku nilimfuma anakunywa kwa siri nikauliza akasema ni dawa za vidonda vya tumbo..

Wakuu nina wasi wasi sana maana hata ishu ya kupima yeye ndio alifosi mimi nikapime nimletee majibu.

Baada ya kusema hivo nikajiwekea asilimia mia kua yeye yupo salama..

Ila mpaka sasa nimekua na wasi wasi mno.

Nataka kujua yafuatayo wakuu wenye experience hivi mtu anayetumia dawa vizuri kabisa ni kweli hawezi kuambukiza au ni story za vijiweni...?

Na ile ya kusema kuna watu hawapati virusi ni kweli au ? maana mpaka sasa naona nipo poa kabisa...

Wakuu ni week sasa hata hamu ya kula chakula cha usiku sina mpaka ananistukia sasa...

Najuta.... Kitu kinachoitwa kupima kwa sasa HAPANA

MREJESHO wakuu .... Nipo salama salimini na nimepima kipimo cha damu kubwa...
Mungu ashukuriwe hongera sana
 
Umenikumbusha Kuna dada mmoja muuza uji mtaani nilikua namzimia kinoma sasa mi siyo mpenzi wa uji lakini nikaanza tabia ya kunywa uji kila siku siku moja nimempa hela nimesimama nae karibu akafungua pochi yake ili anipe chenji eeh bana wee si nikaona kikopo cha ARV
Nilipiga zile breki za katuni
😁😁😁umenusurika kuingia cha kike
 
Ni kweli kabisa!

Cha kwanza, kabla ya Vyote anatakiwa Kuvunja ukimya kwa Upole amuulize mwenzake kwa ukimya sana Bila kuonyesha Hasira, Kukwazwa wala kuwa Disappointed, Na kuonyesha kwamba Hajali hali yake Kama ni muathirika au Lah na kumuambia amuambie Ukweli, naumuapie kabisa kama kwa vyovyote atakavyokuwa hali yake ataendelea kumpenda na hatamuacha...

Nina Uhakika kwa 100% lazima atamuambia Ukweli...

Pili, Kwa wagonjwa wanaotumia dawa kila muda fulani huwa wanachukuliwa Damu kwa ajili ya kipimo cha RNA PCR kwa ajili ya Kuangalia HVL (HIV viral Load) yaani wingi wa Virusi ndani ya Damu..
Kama itatokea Akawa na Idadi ndogo sana ya Virusi kwenye Damu,Mara Nyingi HVL ikisoma TND (Target Not Detected)..

Uwezo wa mtu huyo kumuambukiza Mwingine huwa Ni mdogo sana yaani ni chini ya 1%
Kwahyo kama anatumia Dawa Vizuri na Amepima HVL majibu ni TND asiwe na hofu kabisa
Je! Yaani jitu limukuambukiza kwa makusudi eti uliuluze taratibu !Then, Litakuletea aina zote za vvvu. Hivi duniani kuna maumivu kama hayo ? Mtu kakuletea kifo eti mjadili.
 
Back
Top Bottom