Wiki sasa sina amani

Acha kuwadanganya watu humu yaani uzi mzima usiulize dalili za ukimwi zinaanza kuonekana baada ya muda gani maana ndio kitu cha kwanza mtu akipitia hali huanza kuuliza mara kwa mara.
 
Kuna asilimia kubwa ya kutopata kama anajitahidi kutumia dawa ipasavyo...
 
Wewe ni Poor brain kweli🤣🤣.sasa unaogopa nini kama ulipokuwa unapanda mchongoma ulitegemea kuota mpera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…