Wiki sasa sina amani

Mwambie nimeona dawa flan na nimezitilia waswas kuwa ni za hiv naomba niambie ukweli ili niwe na amani au laa twende mguu kwa mguu tukapime ili niwe na amani na niondoe shaka na waswas
Wee kuweza kumwambia mtu et """ twende mguu kwa mguu"""

Kuwa serious mkuu..
But till now nipo oky nimepima nipo sawa kabisa hapa nasbr vipimo vya mara ya pili
 
Ni mkeo? Mchumba? Girl friend? Au kausha damu?
Swali zuri mkuu...
Kiufupi sizani kama anafaa kuitwa mchumba, au girlfriend kwa age tuliyoachana..

Pia sio mke wangu ila tu naweza sema ni mpenzi wangu basiiii...

Mwenyewe anasemaga nimuite ma mdogo
 
Swali zuri mkuu...
Kiufupi sizani kama anafaa kuitwa mchumba, au girlfriend kwa age tuliyoachana..

Pia sio mke wangu ila tu naweza sema ni mpenzi wangu basiiii...

Mwenyewe anasemaga nimuite ma mdogo
Ndo huyu wa hapa jf 😹
 
Mwambie nimeona dawa flan na nimezitilia waswas kuwa ni za hiv naomba niambie ukweli ili niwe na amani au laa twende mguu kwa mguu tukapime ili niwe na amani na niondoe shaka na waswas
Bad news ni kuwa sio wote tunajua package ya hizo dawa,huenda ni za TB au Pressure
 
Kama umepima na upo negative basi usimwambie huyo mwenzako, ila jiweke mbali nae
 
Oya nakupa hii chukua ,kama umepima uko salama ,fanya ufanyalo mshawishi akapime iwe Kwa kudanganya au laaa,hakuna chakutumia dawa vizuri au nn ukipata umepata ,hiyo inshue kwamba kuna watu hawapati ni 1% Ndani ya milioni 60 ,subili mwezi uishe ukapime tena Ndani ya miezi mitatu ,inawezekana umepima ukiwa kwenye window period Yani Wana hawajanza kuonekana
 
Binadamu ni kiumbe hatari sana, zaidi ya mnyama. Unaishi na mtu kumbe anameza madonge na hakuambii...dah😭😭😭
Pole sana mkuu!
Alafu anasisitiza jamaa apimeπŸ˜‚ kwahiyo raha ya huyo mwanamke ni kuusambaza
 
Mwaka wa 24 huu sijawahi umwa malaria serious mpaka kulazwa labda mafua tu huwa yananisumbua
Hongera sana Mkuu πŸ‘πŸ‘

Kama utakuwa mdau wa physical exercises halafu uwe group O, masuala ya kuugua unaweza kuyasikia Kwa majirani tu.

Japo ni muhimu sana kuzingatia matendo hatarishi ambayo yanaweza kupelekea kupata maambukizi
 
Hongera sana Mkuu πŸ‘πŸ‘

Kama utakuwa mdau wa physical exercises halafu uwe group O, masuala ya kuugua unaweza kuyasikia Kwa majirani tu.

Japo ni muhimu sana kuzingatia matendo hatarishi ambayo yanaweza kupelekea kupata maambukizi
Yeah ni group O
mazoezi nafanya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…