Wiki sasa sina amani

Mkuu unayemshauri sidhani hata miaka 30 kafikisha na Yeye alikuwa anavimba humu anamiliki Lishangazi aasa sijui ilikuwa ni kweli au anatuchangamsha tu?
 
Pole sana Mkuu, kama una damu group O unaweza kunusurika

Bila shaka huyo ni binti wa Mwaka 2000

Hao wengi ni risk taker, na wanacheza miguu yote kama CR7, vyema kupima nao mara tatu kabla hujaenda nao otherwise vaa helmet
Hapana mkuu mimi ni A+ alafu huyu madam ni wa 87
 
Mkapime ili kuepukana na stress ndogo ndogo
 
Mkuu futa kauli yako ya kuwa mimi nilijitakiq
 
Unalialia nini mkuu? Mbona mwenzako haogopi na anaumwa?

Anyway, ungeweka picha ya hizo dawa tukwambie kama ni zenyewe au la
 
Kwani mliokotana wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…