Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
BukobaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BukobaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
MusomaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
Kibahakibaha nakataa
ONGO IPO ARUSHAManyara ndo mkoa wake
Hii sijawahi kusikia... Mimi huko ni nyumbani ila sifahamu kama tuna madini yoyote. Embu tukaifumue hiyo fursa ase...Yea sababu ya madini
Karatu Iko Arusha labda ungesema Babati ndo maarufu kuliko mkoa wake ManyaraManyara ndo mkoa wake
Manyara ndo mkoa wake
Rungwe na Mbeya ni mikoa tofauti, kama hujui fatilia.Kwamba Rungwe ni maarufu kuliko Mbeya?
Acha kukaza fuvu mzee, kubali kukosolewa.Mtoa mada ajasema ndani wala njee ila njee nipakubwa kuliko ndani ndio maana nikasema hivyo
Kibaha nakataa. Wilaya zote za mkoa wa Pwani hazina utofauti kiasi hicho.Songea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
Nimekubali mkuu ila sijapenda kukubali kinyonge mkuu😁Rungwe na Mbeya ni mikoa tofauti, kama hujui fatilia.
Acha kukaza fuvu mzee, kubali kukosolewa.
Kibaha nakataa. Wilaya zote za mkoa wa Pwani hazina utofauti kiasi hicho.
Nlitaka kuandika chunyaHii sijawahi kusikia... Mimi huko ni nyumbani ila sifahamu kama tuna madini yoyote. Embu tukaifumue hiyo fursa ase...
Karatu ipo mkoa wa Manyara mzee, mikoa imeshagawanywa hiyo.Hapana Arusha
Karatu ipo arusha na mererani ipo arusha pia kama sijakosea.Karatu ipo mkoa wa Manyara mzee, mikoa imeshagawanywa hiyo.
Haya nikuulize, Mererani ipo mkoa gani?
Karatu na Mererani zote zipo manyaraKaratu ipo arusha na mererani ipo arusha pia kama sijakosea.
BukobaSongea
Moshi
Sumbawanga
Kahama
Kibaha
Mererani ni kweli ipo simanjiro manyara ila karatu arusha mkuuKaratu na Mererani zote zipo manyara
Jamaa mbishi anajianika asivyoijua Arusha na ManyaraMererani ni kweli ipo simanjiro manyara ila karatu arusha mkuu