Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

Huu mkoa miyeyusho sana wanadai mapenzi ndiyo yalipozaliwa ila maji yanatoka kwa wiki mara moja sasa najiuliza hawa watu wakishamaliza hayo mapenzi hua wanaoga kweli?
Acha utani mkuu tanga wilaya zenye shida ya maji Ni handeni ,kilindi na mkinga kidogo .

Kwengine kote maji yako bwerere .

Tanga mjini ndio mahali kwenye Safi na salama Tanzania. Nzima unaweza hata kunywa bila kuyachemsha usidhurike.

Kuna mahali lushoto mfano bumbuli nasikia hawalipi kabisa bili za maji na maji yanatoka kwenye mabomba .

Pangani maji yamejaa bwerere vile vile korogwe .

Case ya handeni na kilindi hizo wilaya zina uharibifu wa vyanzo vya maji ,ukataji wa miti kwa ajili ya mkaa inapekea ukame ukame kutawala.

Unataka mapenzi njoo msambweni ,magomeni,donge,Hadi mwakidila Kisha kisosora ,chumbageni,kwamichi Hadi kange utapewa mapenzi shata shata ,Mambo ya maji iliki ,kisosa acha bwana .

Tanga raha
 
Acha utani mkuu tanga wilaya zenye shida ya maji Ni handeni ,kilindi na mkinga kidogo .

Kwengine kote maji yako bwerere .

Tanga mjini ndio mahali kwenye Safi na salama Tanzania. Nzima unaweza hata kunywa bila kuyachemsha usidhurike.

Kuna mahali lushoto mfano bumbuli nasikia hawalipi kabisa bili za maji na maji yanatoka kwenye mabomba .

Pangani maji yamejaa bwerere vile vile korogwe .

Case ya handeni na kilindi hizo wilaya zina uharibifu wa vyanzo vya maji ,ukataji wa miti kwa ajili ya mkaa inapekea ukame ukame kutawala.

Unataka mapenzi njoo msambweni ,magomeni,donge,Hadi mwakidila Kisha kisosora ,chumbageni,kwamichi Hadi kange utapewa mapenzi shata shata ,Mambo ya maji iliki ,kisosa acha bwana .

Tanga raha
Kisosora chumvini
 
Acha utani mkuu tanga wilaya zenye shida ya maji Ni handeni ,kilindi na mkinga kidogo .

Kwengine kote maji yako bwerere .

Tanga mjini ndio mahali kwenye Safi na salama Tanzania. Nzima unaweza hata kunywa bila kuyachemsha usidhurike.

Kuna mahali lushoto mfano bumbuli nasikia hawalipi kabisa bili za maji na maji yanatoka kwenye mabomba .

Pangani maji yamejaa bwerere vile vile korogwe .

Case ya handeni na kilindi hizo wilaya zina uharibifu wa vyanzo vya maji ,ukataji wa miti kwa ajili ya mkaa inapekea ukame ukame kutawala.

Unataka mapenzi njoo msambweni ,magomeni,donge,Hadi mwakidila Kisha kisosora ,chumbageni,kwamichi Hadi kange utapewa mapenzi shata shata ,Mambo ya maji iliki ,kisosa acha bwana .

Tanga raha
Wewe ni una masikhara.

Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?

Usinikumbushe nikaanza kulia.
 
Hakuna mkoa ambao hauna umeme wa rea inatofautiana kiwango cha usambaaji tu

Kiwango cha umeme mahali ni inversely proportional to mambo ya kishirikina na imani za kienyeji zikiwamo humo uganga wa kienyeji.

Ndiyo maana kote kuliko na umeme umetamalaki kama mijini na huko kwa mabeberu hizi vitu ni nadra sana.

Kama ukweli huo ni thabiti basi huko Handeni kutakuwa ni exception.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wewe ni una masikhara.

Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?

Usinikumbushe nikaanza kulia.
Korogwe kunakuaje na shida ya maji wakat wana mto ruvu umepita katikati ya mji???
 
Back
Top Bottom