6,600 ni orodha ya waganga wakienyeji na wachawi, hapo inaelekea wote wameorodheshwa ila hajaelezea kama waganga na wachawi wote wanahudumu wilaya ya Handeni, na nivofahamu HANDENI ina uhaba wa Madaktari na maji lakini suali linakuja: je serikali inatambua uchawi na wachawi?
Kama imewasajili na kutoa idadi yao hao wachawi(pamoja na serikali kutotambua uchawi)kwanini isiwachukulie hatua kwa kosa la ulozi pia na kukwamisha maedeleo ya HANDENI?.
huyo mkuu wa wilaya anatafuta kiki na sidhani kama anauzoefu wa nyanja ya utumishi wa umma, bora apate ushauri kwa walomtangulia akina Godwin Gondwe