Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

Wewe ni una masikhara.

Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?

Usinikumbushe nikaanza kulia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tanya ni mkoa was peaked ambao waganga wa jadi wanapanda kwenye mabasi ya abiria ili kunadi bidhaa na huduma ,ao
 
Tanya ni mkoa was peaked ambao waganga wa jadi wanapanda kwenye mabasi ya abiria ili kunadi bidhaa na huduma ,ao
Mule mule.

Ukienda Kilole stendi mpya wapo wengi sana.

Kuna mmoja alikua anasema waganga wa Tanga wanamlinda Magufuli kwakua amefanya vyema kuwatambua.
 
Wewe ni una masikhara.

Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?

Usinikumbushe nikaanza kulia.
Korogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.

Huwezi kuta Mji wowote Tanzania Nzima uliopangika kushinda Tanga
 
Wote nyie na wewe ukiwamo ni wachawi
6,600 ni orodha ya waganga wakienyeji na wachawi, hapo inaelekea wote wameorodheshwa ila hajaelezea kama waganga na wachawi wote wanahudumu wilaya ya Handeni, na nivofahamu HANDENI ina uhaba wa Madaktari na maji lakini suali linakuja: je serikali inatambua uchawi na wachawi?
Kama imewasajili na kutoa idadi yao hao wachawi(pamoja na serikali kutotambua uchawi)kwanini isiwachukulie hatua kwa kosa la ulozi pia na kukwamisha maedeleo ya HANDENI?.
huyo mkuu wa wilaya anatafuta kiki na sidhani kama anauzoefu wa nyanja ya utumishi wa umma, bora apate ushauri kwa walomtangulia akina Godwin Gondwe
 
Korogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.

Huwezi kuta Mji wowote Tanzania Nzima uliopangika kushinda Tanga
Mto pangani mkuu
 
Hii orodha iliyopatikana kwenye Daftari la Usajili waganga wa jadi inaweza kutumika vizuri:
1.Tukaweka madaraja ya waganga(Wanaotoa tiba kwa kutumia miti shamba na wapiga ramli)
2.Tunaweza kuwatumia kutengeneza mtaala,kwa ajili ya kuwa na utaalamu endelevu.
3.Tunaweza kuwaunganisha wakatengeneza umoja wao(mfano kuungana na waganga wa Sumbawanga,Kigoma na sehemu zingine),wakiungana wanaweza endeleza ile sayansi ya "kusafiri na ungo",(na kupunguza gharama za usafiri) tutajikuta tunakuwa na usafiri ambao hakuna haja ya kuwa na ",passport" kwenda ulaya na nchi zingine Duniani.
 
Korogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.

Huwezi kuta Mji wowote Tanzania Nzima uliopangika kushinda Tanga
Kupangika ni kweli.

Na mimi hapa naongelea maji kutoka.
 
Back
Top Bottom