Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ni una masikhara.
Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?
Usinikumbushe nikaanza kulia.
Mi napendaga tu jinsi dada zao wanavyoongea.Wadigo ni hatarii
Kaoe huko mkuuMi napendaga tu jinsi dada zao wanavyoongea.
Mi ni mgeni hapa kwahiyo sijui sababuKorogwe kunakuaje na shida ya maji wakat wana mto ruvu umepita katikati ya mji???
Mule mule.Tanya ni mkoa was peaked ambao waganga wa jadi wanapanda kwenye mabasi ya abiria ili kunadi bidhaa na huduma ,ao
Mto ruvu kwa mara ya kwanza niliuonja hapo kwa kuyaoga maji yake moja kwa moja yakiwa yanatembea mtoni bila ya konekshen ya dawasaMi ni mgeni hapa kwahiyo sijui sababu
Kwani hautokei huko?Kaoe huko mkuu
Kunakuaga na mamba chiefMto ruvu kwa mara ya kwanza niliuonja hapo kwa kuyaoga maji yake moja kwa moja yakiwa yanatembea mtoni bila ya konekshen ya dawasa
Lkn watu wanaoga na kufua sana tu wenyej wa pale walinihakikishia ni salamaKunakuaga na mamba chief
uko ndio nyumba mganga nyumba sho/ga sio
Korogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.Wewe ni una masikhara.
Mimi nipo Korogwe na Mheza na hapo umezisema hazina shida ya maji, aisee bro umewahi ogelea kwenye bwawa unaambiwa humu kunakuaga na mamba?
Usinikumbushe nikaanza kulia.
6,600 ni orodha ya waganga wakienyeji na wachawi, hapo inaelekea wote wameorodheshwa ila hajaelezea kama waganga na wachawi wote wanahudumu wilaya ya Handeni, na nivofahamu HANDENI ina uhaba wa Madaktari na maji lakini suali linakuja: je serikali inatambua uchawi na wachawi?
Kama imewasajili na kutoa idadi yao hao wachawi(pamoja na serikali kutotambua uchawi)kwanini isiwachukulie hatua kwa kosa la ulozi pia na kukwamisha maedeleo ya HANDENI?.
huyo mkuu wa wilaya anatafuta kiki na sidhani kama anauzoefu wa nyanja ya utumishi wa umma, bora apate ushauri kwa walomtangulia akina Godwin Gondwe
HapanaKwani hautokei huko?
Mto pangani mkuuKorogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.
Huwezi kuta Mji wowote Tanzania Nzima uliopangika kushinda Tanga
Mto pangani hauhudumii Korogwe, maji yanatoka milimani, haswa mlima fundi.Mto pangani mkuu
Kupangika ni kweli.Korogwe shida ya maji ni msimu ila maji yanatoka, Tanga mjini hakuna shida ya maji na kama alivyokuambia huwa maji watu hawachemshi maji ya Bomba yapo safe tayari.
Huwezi kuta Mji wowote Tanzania Nzima uliopangika kushinda Tanga
ndio tanga maji hayakati, yakikatika ujue ni tatizo kubwa na mnatangaziwa. na ni maji safi kama nilivyokuambia juu, unakunywa from bombani.Kupangika ni kweli.
Na mimi hapa naongelea maji kutoka.