Wilaya ya Handeni ina waganga wa jadi 6600, Kwamsisi inasifika zaidi

Halafu unapewa sharti hakuna kunywa gambe!
Hapo sasa mtihani
Ila nataka uganga wa dili😂😂
Wa Kim Kimchongo
Kuna mwanangu mmja alikuwa anaenda afrika kusini kupiga deal hizo akiwa bongo anauza duka lake la sim na vifaaa vingine
Sema walikuja mshtukia akalaga kona

Ova
 


Si kweli kwamba Handeni na Kilindi hakuna maji sababu ya uharibifu wa vyanzo vya maji.

Nakataa kata.

Hata ukataji miti siyo ukweli.

Usiwape excuse serikali yenye jukumu la kutuletea huduma muhimu ya maji wakapata sababu isiyo kweli.

Tumuogope sana Mungu.

Tangu Uhuru hadi leo Wilaya za Handeni na Kilindi hazina huduma muhimu ya maji.

Yani imeshindikana kabisa hata makao makuu ya Wilaya hizo maji hakunaga .

Hospitali ya Wilaya bomani maji shida.

Mashuleni pia maji ni shida
Kila mahali maji ni shida kubwa.

Mto ruvu uko jirani pale korogwe lakini Handeni na Kilindi hakuna maji tangu kabla na baada ya Uhuru hata sasa.
 
Hivi huko miaka ya nyuma Mbunge wao si ndio alikuwa Prof.Longwater?
 
Kwa msisi nishapiga dili jamaa alikuwa mganga akaniletea ndy sivyo,nlimtimbiga nkampora sim na sub ufa huko
Alinipiga mkwala nkamwambia kama yeye aliumba dunia basi afanye vyvyt
Kwangu

Ova
 
Kasema io idadi ni ya waganga sio wachawi. Waganga wanakuaga wamesajiliwa ndio maana kawatambua
 
Kasema io idadi ni ya waganga sio wachawi. Waganga wanakuaga wamesajiliwa ndio maana kawatambua
handeni kirindi mtaa wenye nyumba 100 basi 85 niyumba za wachawi wanao jificha kwenye uganga chezea wazigua na wanguu
 
handeni kirindi mtaa wenye nyumba 100 basi 85 niyumba za wachawi wanao jificha kwenye uganga chezea wazigua na wanguu
Kule naskia ni hatari sana. Watu sijui wanaishi vipi sasa!
 
Nna shamba langu kijiji cha kwasunga
30km kutoka mandera (mbele ya mto wami)

Kwa kule sijawahi kuski habari za kichawi
 
Handeni itabakia maskini milele kwa ujinga wa imani za kishirikina. Nashangaa hadi leo mtu anahofu kujenga nyumba nzuri kwamba atalogwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…