mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Chanzo cha yote haya ilikuwa ni vita ya corona?
Sasa imebadilika
Sasa imebadilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bulaya huwa anapanic sana. Sio mtu wa kufuata ushauri wake kabisa. Nimemsoma Bulaya inaelekea kipindi Corona imepamba moto alikuwa anamsoma sana Mange Kimambi.Mbowe anapata ushauri wa Bulaya unategemea nini
Tukiambiwa chama cha upinzani ni CHADEMA tuna takiwa kuelewa. Ati karudi CUF aka pambane na Chadema na siyo CcmNilidhani yuko serious na kustaafu siasa kumbe zilikuwa mbwembwe tu.
Matiko ni lecturer, hawezi kuropokaBulaya huwa anapanic sana. Sio mtu wa kufuata ushauri wake kabisa. Nimemsoma Bulaya inaelekea kipindi Corona imepamba moto alikuwa anamsoma sana Mange Kimambi. Ndo maana akakurupuka eti wajikarantini. Halafu wamerudi kukaa na watu ambao hawakujikarantini. Idiot kabisa huyu Bulaya.
Binafsi pale Chadema namkubali sana Esther Matiko.
Tupo mamilioni ya wanachama wenye akili timamu,hao wachumia tumbo ngoja watumike kama kondomu tu.Hivi huko Chaldean amebakia nani?
Na CUF wataambulia fedha kiasi katika ule mkakati sa kuangamiza Chadema na kuonyesha dunia kuwa uchaguzi ulikuwa wa haki na vyama vya siasa vya upinzani vilishiriki vizuri kabisa!Mwambie aende nccr ,cuf atapishana na hela
Ccm +nccr+cuf+tlp wakiungana still awatoweza watikisa chademaCCM watatumia kila mbinu kuisambaratisha cdm, upepo wa siasa utakavyowageukia na kuwaendea kombo hamtaami
To be honest that woman is brainless . Yeye ndo aliinitiate issue ya Karantini kwa kukurupuka. Binafsi sijaona issue ya wao kwenda Karantini na kurudi katika bunge ambalo conditions ni the same before, during and after Karantini.Matiko ni lecturer,hawezi kuropoka
Bulaya hata form four hakumaliza,sasa ndio anafanya kazi za katibu mkuu
Target ni kuimaliza CHADEMA au kuchukua nchi? Siasa zetu kwa kiasi kikubwa ni upuuzi tuCHAMA cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania kimesema, kitamtumia Wilfred Lwakatare, Mbunge wa Bukoba Mjini, kuvimaliza vyama vya upinzani, hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020.
pointCcm +nccr+cuf+tlp wakiungana still awatoweza watikisa chadema
Wanasiasa mama yao mmoja, Ila matumbo mbalimbali,Nilidhani yuko serious na kustaafu siasa kumbe zilikuwa mbwembwe tu.
Lengo kubwa LA chama cha upinzani ni kushika dola. Sasa, Cuf wakiisambaratisha Chadema ndo wanashika dola??Target ni kuimaliza CHADEMA au kuchukua nchi? Siasa zetu kwa kiasi kikubwa ni upuuzi tu
Vp ni jirani au umesoma nae secondary?Ok, asante
Target ni kuimaliza CHADEMA au kuchukua nchi? Siasa zetu kwa kiasi kikubwa ni upuuzi tu
Vp ni jirani au umesoma nae secondary?
Yap aligombea nafasi mbalimbali nadhani na urais pia. Hongera umesoma sehemu nzuri sanaHapana, nilimfahamu huko chuo alikua na harakati nyingi za uongozi. Alikua anapambana sana na kama vile nyota yake kwenye uongozi iko vizuri