kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 756
- 510
siasa hizi ni unafiki mtupu, hakuna wanachokiamini wala wanachosimamia, wapi mausetung na Brechneuve wa black "people",hakuna rebuplican wala conservative. Yala! Inauma hakuna mwelekeo ,dira, ni njaa tu namatamanio binafsi tu. wapi"comrade",viongozi wamekuwa misleading"tumewaonea huruma wavunjwa vunjwa mchana kweupe, kumbe usiku wako na watesi wetu ,wafuasi tumekuwa wa mkumbo kila Mara wanatuachia misolemba. oh si mama yangu Mara narudi nyumbani, naunga mono, 19 hutaamini. huku na kule hawaaminikiKatiba ni kweli ndio dawa lakini je itawazuia watu kulipa visasi mitaani ?
Atakuwa mwenye ndevu maana huko si hawanyoi ndevu!!!!Ni yupi kati ya hao wawili?
ndo bange hizo sasa...yule mliberali mpiga chapuo za ushoga eti apate kura nyingi ah ah mzee umevuta asubuhi nini….. yule mliberali lissu hana tofauti na savimbi au mobutu...wale ni mapuppet wa wazungu ambao hata akiambiwa atafutiwe mme anakua wa kwanza kuchagua mwanaume kisa mzungu kamwambia ndo sawa ah ahMlikuwa mkiamini kuwa kuna siku JIWE angeenda zake?? Je CCM iliwahi kuamini kuwa kuna siku mwenye jinsia ya kike atakuwa Rais wa Tanzania?? Je unaamini kuwa Mh Lissu alimshinda Jiwe kwa kura nyingi tu??
una uwezo mdogo sana ! umefikaje JF ?ndo bange hizo sasa...yule mliberali mpiga chapuo za ushoga eti apate kura nyingi ah ah mzee umevuta asubuhi nini….. yule mliberali lissu hana tofauti na savimbi au mobutu...wale ni mapuppet wa wazungu ambao hata akiambiwa atafutiwe mme anakua wa kwanza kuchagua mwanaume kisa mzungu kamwambia ndo sawa ah ah
Yule mwarabu aliyekutindua marinda amerudi toka Dubai anakutafuta muanze pale mlipoishia sasa sijui utafanyaje nawe umewekwa kinyumba na kigogo mmoja hapo Lumumba.ndo bange hizo sasa...yule mliberali mpiga chapuo za ushoga eti apate kura nyingi ah ah mzee umevuta asubuhi nini….. yule mliberali lissu hana tofauti na savimbi au mobutu...wale ni mapuppet wa wazungu ambao hata akiambiwa atafutiwe mme anakua wa kwanza kuchagua mwanaume kisa mzungu kamwambia ndo sawa ah ah
SureYule anatakiwa atupiwe kidude 'kila' akiingia chumba cha mahakama kusikiliza kesi haja kubwa inamjia kwa nguvu hadi avue nguo hadharani kukata gogo.
Crap
Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.
Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.
Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
zamu yako inakaribiaCrap
Watz hatuna roho hio chafuKatiba ni kweli ndio dawa lakini je itawazuia watu kulipa visasi mitaani ?
10 tena kwa mamaMama anafanya kazi safi
Wengi wamepata teuzi, ujaji, uDC, u RC nk baada ya kuwaumiza wapinzani kama cv ya kumfurahisha mpita njia. Japo amepita zake lkn machozi yao ni lzm yatawatafuna hivi vimalaika vyake.Uonevu ulitamalaki sana wakati ule
Ukatili ulifanywa ili kufurahisha utawala
Mungu ndiye ajuaye ya kesho tuishi vyema wandugu
Kivipi!?Kwani wewe umeelewaje
meko alikuwa na roho mbaya sana
Alikamatwa siku chache kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 na kupewa kesi ya uongo ya kutakatisha pesa na Uhujumu uchumi kwa amri ya CCM na DPP Biswalo Mganga, ambaye jana ameapishwa kuwa jaji wa Mahakama kuu.
Leo ameachiwa huru baada ya Mahakama kuona kwamba Mashitaka yake yalikuwa ya uongo , ya kughushi na yaliletwa Maalum ili kumkomoa kwa vile alikuwa kiongozi wa Chadema.
Nachukua nafasi hii kumuomba Mwenyezi Mungu atoe hukumu ya Haki kwa DPP Mhusika na wale wote waliohusika na uovu huu uliojaa unyama ambao haujawahi kuwepo kwenye nchi hii tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , kama wapo waliokufa lakini wakati wa uhai wao walishiriki uovu huu basi moto wao wa Jehanamu uongezwe mara 100.
Hujuma ni sehemu ya siasa bwashee!
Atakuwa mwenye ndevu maana huko si hawanyoi ndevu!!!!
Ni huku kwenye Njaa tuHujuma ni sehemu ya siasa bwashee!
Yule mtoto wa Amber Lulu baba yake ni HamorapaKivipi!?
Mshamba Sana bwana yuleMimi nimejitoa maisha yangu,uongo ndugu zangu..
Mniombee!Tumecheleweshwa sana ndugu zangu,makofi