Wilfred Mwalusanya Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Mbozi aachiwa huru baada ya kusota rumande kwa miezi 8

Katiba ni kweli ndio dawa lakini je itawazuia watu kulipa visasi mitaani ?
siasa hizi ni unafiki mtupu, hakuna wanachokiamini wala wanachosimamia, wapi mausetung na Brechneuve wa black "people",hakuna rebuplican wala conservative. Yala! Inauma hakuna mwelekeo ,dira, ni njaa tu namatamanio binafsi tu. wapi"comrade",viongozi wamekuwa misleading"tumewaonea huruma wavunjwa vunjwa mchana kweupe, kumbe usiku wako na watesi wetu ,wafuasi tumekuwa wa mkumbo kila Mara wanatuachia misolemba. oh si mama yangu Mara narudi nyumbani, naunga mono, 19 hutaamini. huku na kule hawaaminiki
 
Mlikuwa mkiamini kuwa kuna siku JIWE angeenda zake?? Je CCM iliwahi kuamini kuwa kuna siku mwenye jinsia ya kike atakuwa Rais wa Tanzania?? Je unaamini kuwa Mh Lissu alimshinda Jiwe kwa kura nyingi tu??
ndo bange hizo sasa...yule mliberali mpiga chapuo za ushoga eti apate kura nyingi ah ah mzee umevuta asubuhi nini….. yule mliberali lissu hana tofauti na savimbi au mobutu...wale ni mapuppet wa wazungu ambao hata akiambiwa atafutiwe mme anakua wa kwanza kuchagua mwanaume kisa mzungu kamwambia ndo sawa ah ah
 
una uwezo mdogo sana ! umefikaje JF ?
 
Yule mwarabu aliyekutindua marinda amerudi toka Dubai anakutafuta muanze pale mlipoishia sasa sijui utafanyaje nawe umewekwa kinyumba na kigogo mmoja hapo Lumumba.
 
Crap
 
Mwenye shida nao Mola kampangia majukumu mengine ni wakati sasa wote Waliobambikwa waachiwe huru maana hata mkiwashikilia mnaemridhisha Ili kushibisha matumbo yenu ayupo zaid mnaukimbiza upepo.
 
Uonevu ulitamalaki sana wakati ule
Ukatili ulifanywa ili kufurahisha utawala
Mungu ndiye ajuaye ya kesho tuishi vyema wandugu
Wengi wamepata teuzi, ujaji, uDC, u RC nk baada ya kuwaumiza wapinzani kama cv ya kumfurahisha mpita njia. Japo amepita zake lkn machozi yao ni lzm yatawatafuna hivi vimalaika vyake.
 
meko alikuwa na roho mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…