Will a weakened America emerge victorious against communist China?

Umeeleweka vyema Afande.
 
Asante kwa mchango wako
 
Mkuu, huo msemo unanikumbusha kauli ya msomi mmoja [Profesa] kutoka nchi Urusi aliyewahi kutabiri miaka ya 90 mwishoni kuwa itakapofika mwaka 2010, Marekani itagawanyika vipande sita na kimojawapo (Alaska) kitarejea Urusi.
Ha ha ha ha ha ha warusi hawawapendi kabisa US.
 
Nakusoma mkuu
 
We jamaa upo kimya mno.

Backbencha tunakusikilizia uteme madin tufanye yetu
 
Ni zaidi ya mwaka na miezi mitano sasa, assessment yangu hii inabaki vilevile. Russia wana bragging ila uwezo wa kawaida, tunawaona pale Ukraine. China wana mikwara na kujipa moyo, tumewaona jana na leo pale Taiwan.

Ninachobadilisha hapa ni makadirio yangu yasiyo sahihi kwamba China ingetumia miaka kama 20 kuizidi Russia kijeshi. Huo muda ni mwingi sana, Russia ilikuwa overestimated mno na China imepiga hatua kadhaa kijeshi mfano uzinduzi wa Type 003 aircraft carrier mwezi jana ambayo ilijengwa kwa kasi. Pia nimeiona Type 005 destroyer. Kwa sasa naamini kwa speed hii ya China hatuhitaji miaka zaidi ya 10 ili China iizidi Russia kijeshi. Hapo nimekwishazingatia vitu vingi sana baina ya Russia yenyewe, mfano quality of production na sanctions kwenye technology
 
Una yafahamu masuala ya kijeshi na ulinzi ya mataifa mbalimbali kwa upana zaidi ?
 
Utulivu wa ndani.
CCP ndio inaongoza China tangu 1940s, hawa hawajakomaa lolote kisiasa bali wanatumia intimidation na nguvu nyingi.
Ki vipi CPC hawaja komaa kisiasa ? Na ni nguvu zipi CPC wana tumia ?
 
Huawei na Samsung ziko vile kwa sababu ya kutumia American technology,
Huawei ipo vile ilivyo kutokana na kuwa backed by China government na hii ni kwa makampuni yote ya wazawa ya China.
 
China ina matatizo na Taiwan na Hong Kong, haina demokrasia wala mifumo imara na inategemea uwezo wa aliyepo madarakani. Nchi isiyo na utulivu haiwezi kuwa superpower.
Una ufahamu mfumo wa utawala wa China na siasa zake ?
Demokrasia ni nini ?
Ni utulivu upi China ilio kosa ?

Taiwan, Hongkong zote ni China moja.
 
Mambo yame badilika pakubwa sana, fuatilia.
 
Fuatilia, mambo yame badilika sana.
 
Mwaka 2008 uchumi wa dunia uliyumba kwa sababu ya taasisi za Marekani, hii inamaanisha nguvu waliyonayo. China itafanya nini mpaka uchumi wa dunia utetereke? Tukiachana na magonjwa ambayo hata shit country inaweza yatoa dunia ikatetereka.
Ume fuatilia ripoti ya mkurugenzi wa IMF kuhusu madhara ya kiuchumi kwa dunia kutokana na nchi ya China kuwa katika lockdown ya uviko19 kwa miaka mitatu mfululizo kabla haija ondolewa mwisho wa mwaka jana na makadirio ya ukuaji wa uchumi wa dunia baada ya kuondolewa kwa lockdown hiyo ?.
 
Ukubwa wa nchi kijeshi unapimwa katika nini ?
 
Kimataifa.
China haijawa na ushawishi wa kuikaribia Marekani kwenye EU, Asia-Pacific wala Middle East. Huu ushawishi kwa Africa ni mdogo duniani. Mashirika ya kimataifa kama WB, IMF na UN nzima yamekaa Kimarekani zaidi.
Sio kweli
 
Sioni dalili yoyote kubwa ya China kuipiku Marekani. Dalili chache kama PPP zote ni kutokana na population ya China wala sio mbinu, uwezo wala mikakati.
Mbinu gani ?, Uwezo gani ? Mikakati ipi ?
 
Wamarekani wana tabia ya kuishusha na kuitia hofu nchi yao, sio kama Warusi wenye brags na Wachina wenye historia ya kujipa moyo. Bado US ni strong
Kwani ni masimango ya wa marekani kwa nchi yao au ni ripoti mbalimbali za kitaalamu ndizo zina ongea ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…