Hahaha umeua hahahahaMbele ya Mademu... Alisema deogratias kuwa eti.
Hata Yesu alipigwa kabebeshwa msalaba akina magdalena wakaja kumlilia na kumpa pole, akaona hawezi kuwa mnyonge mbele ya mademu, akawambia mbona mimi fresh, jililieni nyinyi na watoto wenu akakaza.
Ila alipofika kwa wana akina petrol, akawambia petrol nimechoka hawa mbwa wataniua nisaidie msalaba. [emoji1787][emoji1787]
Kwasababu anamdharau will Smith mke wake anagongwa hovyo hovyo hadi na vijana wadogo halafu yeye anaonaga poa tu ndo maana huyu zelenskyy kamdharau
Ulitegemea afanye nini huyo Chris Rock?Ila nimeangalia hawakuwa wanaigiza hawa kweli maana licha yakupigwa kibao akawa anaendelea kuchekesha
5 hours ago views million 17 ,
Nigger momentJamii ya watu weusi haina uvumilivu
[emoji1787][emoji1787]Bado yule boda boda anayependa kutumwa tumwa na mke wangu.
Namtumia hii afu nakausha
Ana haki ya kupigwa kofi.Mke wa Will ana ugonjwa unaitwa Alopecia ambao husababisha nywele kunyonyoka na mke wa Will hana nywele
Sasa Chris akatania jokes hapo ila baadae kilichomuudhi Will ni pale alipomfananisha na movie moja aliekuwemo Demi Moore akiwa kanyoa nywele G1 JANE”
Hapo hata wewe usingekubali mtu ataniwe kwa maradhi yake View attachment 2166751
Wabongo sio wachovu kiasi hicho,5 hours ago views million 17 ,
tanzania tukio lina 7 years ,views 140k[emoji3][emoji3]
Bora tu lipite yaishe juu kwa juu.
Ila familia ya Smith na mkewe ni ya aina yake. Open marriage hivi kuna watu wanayo bongo kweli?
Ana haki ya kupigwa kofi.
Safi kabisaUtani mbaya. Mc mkali wa huko Usa Chris rock kajikuta na aibu baada ya kupigwa kibao na Mshindi wa tuzo ya Oscar ; Will smith baada ya kumtania mkewe Jada pinkett smith.
Utani mbaya ulomfanya Smith anyenyuke toka alipokaa hadi mbele ya stage na kumpiga bonge la bao.
Alivorudi kukaa Smith akamuambia '' Get out my wife's name out of your fxxking mouth''
Aisee. Uzi tayari View attachment 2166607 View attachment 2166606
Amelia sana baada ya hapo, kaomba msamaha kwa wote ila sio Chris.Ni criminal offence ila kwa kuwa wanajuana sana naona kupotezea ni sawa tu
Ni kosa kubwa kafanya Will ila ni hasira
Watayamaliza ila akifungua kesi ni mbaya sana kumpiga mtu unaweza kufungwa
Kwa hii kauli inatakiwa upigwe kofiWabongo ni ng'ombe
hahahaa daaa mkuuuWabongo sio wachovu kiasi hicho,
Event:Mchomvu vs Mbasha
Views:113,000
Mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2166869