Umenikumbusha huu mradi wa mabasi ya wanafunzi uliokuwa chini ya UVCCM, Mwenyekiti akiwa John John Guninita!! Hivi Nchimbi hakuukuta huu mradi?Lukuvi ndiye aliua mradi wa mabasi ya wanafunzi akishirikiana na fisadi mwenzake Guninita, asifikiri tumesahau
Nishasahau chanzo.Na kwanini tulitukanana mkuu
Mambo ya ajabu ajabu tu yanafanyika halafu tunajiuliza kwanini hatupigi hatua katika lolote kumbe tunajimaliza wenyewe namna hii.Kuna madogo fulani wawili wa mtaani wamechukua UPedejee sehemu mbili nyeti sana.
Hapo mtaani kwetu tu.
Kafanyaje mkuuCAG! Muulize Assad
Wale wengine walipotenguliwa wakaanza kumwita Magufuli mshamba unasemaje kuhusu hilo?Kwani kutenguliwa ni kosa wakuu ?
Mama hajasema kwamba kamtoa lukuvi eti kisa kaharibu laa haasha.
Kama mtu alichaguliwa basi akitenguliwa pia ni kawaida tu wakuu.
Lukuvi asijiulize kosa lake bali ajiulize kwamba kutolewa uwaziri bila kuharibu ni kosa ?
Waliomwita Magufuli mshamba walikuwa na hati miliki ya nini?Mpuuzi, yeye Lukuvi ndiye aliyekuwa na hakimiliki ya uwaziri wa ardhi!
Halafu ebu angalia chuki zako unamtaja Ridhiwan kwani yeye ndiye aliyechukua nafasi ya Lukuvi, aliyechukua nafasi ni aliyekuwa naibu wake.
Halafu hilo Lukuvi liwe linatosheka ameingia serikalini toka enzi za Mwinyi 1994 baadaye akaendelea wakati wa Mkapa, Kikwete na Magufuli hatosheki tu?
Nao ningewauliza kwamba kutenguliwa ni kosa ?Wale wengine walipotenguliwa wakaanza kumwita Magufuli mshamba unasemaje kuhusu hilo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia mtu anasema bila ushahidi, “tunaambiwa ni fisadi.” Ukimuuliza una ushahidi? Utasikia “majumba yote makubwa Dar na mikoa mikubwa ni ya kwake.” Una ushahidi na umiliki wa hayo majumba? Utasikia, “kila mtu anasema.”
kaaazi kweli kweli, ndio maana hear say evidence haikubaliki!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Lukuvi ndiye aliua mradi wa mabasi ya wanafunzi akishirikiana na fisadi mwenzake Guninita, asifikiri tumesahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri Mh.Spika aliyeacha kazi naye atwambie anafanya Nini kwa Sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nakufa kwa kucheka, ndungai nae ana matashtiti na manjonjo, hasa kwenye ishara ya kukonyeza anavofanya huo mkono sasa. MweeeeehHukuona clip zake nae akiwa kwenye shamba la Korosho huku kabeba ndoo ya mavuno [emoji23]
Yaani wote wasanii wa kilimo
Duuuuuuh.kila kijiji jimboni kwake kina ambulance lakini hazijawahi kubeba mgonjwa yoyote yule ukienda utaambiwa hazina mafuta laki kutwa kucha zinatoka pori la hifadhi ya ruaha na ving'ora zikipishana kwenda uwanja wa ndege na daslamu kwa huwa zimebeba nini?