Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....Sijui hao wanae wanajisikiaje?
Ukipata nafasi ya kumaliza matatizo tofauti zenu baina yenu,malizeni tu.maisha ni mafupi mno
Hata naye atakufa tu🤣Nadhani Mange Roho Yake Itatulia Sasa
Wanasema hakuna experience mbaya kwa wazee kama kuzika wanao.RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
TokapaView attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
Kuhusu kifo Cha BM akili yangu inaniambia Kuna Mengi zaidi ya haya niyajuayo!View attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
R.I.P King of all Bongo social media networksView attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msanii Steve Nyerere.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde.
Hakika,Sawa mkuu...
We live once, we die once & that once is enough.....
Alikuwa anaumwa moyo kwa muda mrefuKamaa kakata kamba aisee nini tatizo? Boma yee kakata kamba
Mange ameipokea kwa kugonga glassPole Sana
Kumbe angekuwa makini angesurvive Kwa siku mbili tatuMtu una matatizo ya moyo umeshaponyoka mara kadhaa hospitali kwa utaalamu wa madokta.
Umri umeenda, obese; halafu ukipata nafuu kidogo unarusha picha ukishusha breakfast white bread, mayai ya kukaanga kama matatu, siagi, sausage, maharage na chai ya maziwa juu. It was coming.
R.I.P king of all of bongo social media, personal nitamiss post zake za maisha zilikuwa fikirishi sana kwangu au unapata la kujifunza hasa kuhusu tabia za watu wanaotuzunguka.
Ulale salama king of all bongo social media.
Hata kama hakuwa na msaada kwenye maisha yao..Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....
Kuna yule wa kiume alimpa shit za uso mara
SUCK MY DICK...
kitu ambacho Mimi hata nikitofautiana na mtu yeyote siwezi mtukana ivyo sembuse mzazi wangu.....
Ungemsoma Dr aliyemtibu pengine ungebadili mawazo yakoKuhusu kifo Cha BM akili yangu inaniambia Kuna Mengi zaidi ya haya niyajuayo!