Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,490
Nimepita mahali nikasia the deceased hakua na nyumba[emoji26][emoji26]nimeumia mno najua wanamsingizia maana sio kwa zile bata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama samiaInna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Hawezi akakosa nyumba yule,pesa alikua nayo.Nimepita mahali nikasia the deceased hakua na nyumba[emoji26][emoji26]nimeumia mno najua wanamsingizia maana sio kwa zile bata
Kwamba mda wowote unazima km taa ya chemliUgonjwa wa moyo ni hatari.
Uzee huanza miaka mingapi?Kwa hiyo 62 ni wazee .umaskini mbaya sana
Age is nothing but just numbers John pombe Magifuli kazaliwa 1959 kafariki 2021
Lemutus kazaliwa 1961 kafariki 2023
Mmoja anaonekana Mzee mwingine kijana.
Ugonjwa wa moyo ni hatari.
Hayati Magifuli alijua hatari ya huo ugonjwa akaamua kukumbizana na muda kutimiza ndoto zake kabla muda wake haujafika.
Lemutuz akachagua njia ya duniani tunapita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama samia
Jitahidi kuwa na adabu kidogo tu mbele ya mkuu wa nchi FaizaFoxy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafahamu mbn mkuu, uyo bb ndio watch 100 mwenyewe.Jitahidi kuwa na adabu kidogo tu mbele ya mkuu wa nchi FaizaFoxy
Jamani corona bado ipo, tujichunge.View attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaonesha marehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
Hii video sjui kweli
Sidhani kama watawaza,,,,,,
Mimi kiukweli Sina excuse yoyote na baba anaekimbia watoto.sina.
Kulea watoto mwenyewe kunaleta simanzi moyo unaweza ukafa ganzi ukatamani huyo jamaa afe
Yeye alisemaga aligombanaga na mama Yao,,,ila watoto wanasema aliwaaga anaenda kusalimia bongo na hakukua na ugomvi na haluwai kurudi na wala hakuwahi kiwatafuta..
My dear baba ambaye hakuwajal tangu watoto Leo hii unafikiri watakua na uchungu?
Na SI ajabu wamekua Kwa taaabu...
Kama wewe ni mwanaume hata kama unampitia taabu vip na uliyezaa nae hakikisha upotezi mawasiliano/ukaribu na wanao hata kama huna pesa ...usije baadae ukapopup tu....kulea watoto mwenyewe ni taaabu sana
70Uzee huanza miaka mingapi?
Kwa maisha haya (hasa kwa nchi nyingi zaidi za Afrika)hapo unawaongelea marehemu.
Nadhan wanafanana vitabia tu mfano huwa anaamini yy ni mwarabu hahahahahNafahamu mbn mkuu, uyo bb ndio watch 100 mwenyewe.