FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Waaleykum Salaam.Asalamaleko Shangazi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waaleykum Salaam.Asalamaleko Shangazi,
Sawa "CLASSMENT"RIP Classment
Yeah..ana miaka zaidi ya 60..nadhani 63-64 hivi60???
Tatizo ni ni nini!?alikula mkataba gani hasa!!?Hapo umemsahau Irene alikuwa Dr(Dr Irene) aliamua kujiua.Inanisikisha sana.Halafu kuna binti yake yule Mwendwa yule jaji. Ana kiharusi yaani siku hizi anasukumwa kwenye wheel chair. Mzee Malecela kusema ukweli kafiwa sana hapo pia alifiwa na Mkewe wa kwanza.
NdiyoUlidhan Facebook?
Haya mapicha huwa yanadanganya sana ungekutana naye live ndo ungejua huyo jamaa kweli umri umeenda...Sikuwahi kujua hilo aisee , nilijua yupo chini ya 50!
A Very humble man big yule tyme nyingi tulikuwa tunaonana kijiweni kwake pakupumzikia na kupiga michongo na wana leaders pale after sprints na circuits akiwa na ile Noah yake ya 1997 big brand Le mutuz RIPKwa taarifa Lemutuz sio kijana ni above 60 ni umri wa wastaafu. Apumzike kwa amani. Binafsi niliwahi kukutana nae ATM CRDB Holand House nikamsalimia tukapiga stori kidogo ingawa ndio kwanza kumuona live very humble man
Hivi jina kamili la marehemu Leo Mutuz ni lipi Sheikh? Na kwa umri wake hayati ni Mzee au Kijana?Sheikh lini tena Mzee John Samuel Malecela ametutoka ?
Tuwe makini tusilete taharuki kwa kuandika taarifa nzito zisizo sahihi kisa unahisi fulani atakuwa marehemu au amekumbana na kadhia fulani
🤣 🤣 🤣 🤣Chai
R.I.P Lemutuz
Kile kinoah chake cheusi kakichora chora ...jamaa alikuwa na tuvitukoA Very humble man big yule tyme nyingi tulikuwa tunaonana kijiweni kwake pakupumzikia na kupiga michongo na wana leaders pale after sprints na circuits akiwa na ile Noah yake ya 1997 big brand Le mutuz RIP
Hizo pics hazina shida kabisa kwangu mimiHii video sjui kweli
Hapo mkuu umemuonea le kibamiaz- bonge wa watu, nakumbuka baada ya kupata msiba wa mama yake kweli alichelewa ila alisafiri na kukuta bado hawajazika na alihusika kwenye mazishi ya mama yake kuna picha zipo kwenye mtandao wakiwa wanazika kaburini jamaa akiwa amevaa t-shirt na pensi..View attachment 2621975
Huenda ni maji yanafuata mkondo.
Pamoja na Le Bataz nyingi mjini, Le mama yake alikua akiishi Le hapo.
Alipigiwa simu 3 days before kuwa mama yake anaumwa lakini hakwenda.
Alipofariki akachukua fast Jet kwenda Mbeya, akakuta wameshazika, akaenda kuonyeshwa kaburi akageuka siku hiyohiyo.
Jamaa alikua mtu sana, sijui aliyakoroga wapi?
62Alikua na umri gani huyu MTU wa totoz?
Mi nimemuona laivu Tanga na Dodoma,hakua na uzee kama baadhi ya wazee,nadhani kwasababu ya kutofanya kazi ngumu.Haya mapicha huwa yanadanganya sana ungekutana naye live ndo ungejua huyo jamaa kweli umri umeenda...
Huyu baba jaman anapitia magumu mnoo, namuonea huruma kweliHapo umemsahau Irene alikuwa Dr(Dr Irene) aliamua kujiua.Inanisikisha sana.Halafu kuna binti yake yule Mwendwa yule jaji. Ana kiharusi yaani siku hizi anasukumwa kwenye wheel chair. Mzee Malecela kusema ukweli kafiwa sana hapo pia alifiwa na Mkewe wa kwanza.