TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Age is nothing but just numbers John pombe Magifuli kazaliwa 1959 kafariki 2021
Lemutus kazaliwa 1961 kafariki 2023
Mmoja anaonekana Mzee mwingine kijana.
Ugonjwa wa moyo ni hatari.
Hayati Magifuli alijua hatari ya huo ugonjwa akaamua kukumbizana na muda kutimiza ndoto zake kabla muda wake haujafika.
Lemutuz akachagua njia ya duniani tunapita
 


Uzee unatakiww kuanza umri wa kuacha kazi kati ya 65 na 67 lakini kwetu kumajaa watoto kila mtu ni mzee

Kwa US ni 62
In the United States it is generally considered that a senior citizen is anyone of retirement age, or a person that has reached age 62 or older.
 
Jamani corona bado ipo, tujichunge.
 

Sidhani kama unajua ni kwanini Le Mutuz alijitenga na familia yake. Hivyo usihukumu usichokijua, na Sidhani kama unajua tabia halisi ya huyo aliyekuwa mke wake.

Wanaume ni tofauti sana na nyie wanawake ambao mtaeleza kila kitu kibaya cha mwanaume na mengine mtasingizia ili mradi tu jamii imuhukumu mwanaume. Lakini wanaume wengi wamekimbia familia zao sababu ya ushetani wa nyie wanawake, kuna wanawake ni mashetani hata kukaa nao karibu ni mateso.

HIVYO KAA KIMYA WEWE MDADA WA KIMASAI. PIA NA WEWE NINAVYOKUSOMA HUWEZI KUISHI NA MWANAUME YEYOTE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…