TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

inashangaza
Utasikia "Mungu wangu si jana tu tumetoka kula naye hapa ugali"

Sasa kula ugali na kifo hapo katikati kuna chemistry gani inayofanya ionekane ajabu kwa mtu mliyekula naye ugali kupatwa na mauti?

Yani kwa bongo ni kama taarifa ya mtu kufa kwako itakuwa normal as long as marehemu hakuhusika kwenye tukio lolote recently pamoja na wewe
 
Kuna mahali nimesikia Mbowe nae kapata ajali mbaya akielekea bagamoyo. Hii nayo ni tetesi.
 
Nakuona msibani Karimjee pole sana kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…