SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama unaweza yote itakuwa poaKwahiyo tulie au tucheke!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaweza yote itakuwa poaKwahiyo tulie au tucheke!?
Wewe kila mtu akifa unafundishwa kuwa humble. Kwani bila mtu kufa hufundishikiDuh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
😅😅Ila kweli na watu wamezoeaSijui kwanini watu wanatumia hilo neno dhibitisha badala ya thibitisha. Kiswahili kinasumbua wadanganyika.
Sorry hivo mabebez ni nini?Mzee wa mabeibez
Mangi Kimambi atapata hasara ya storiNo Way, Aisee.
Daaaah
Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi. Deep Down Alikua Ana Utu Sana.
Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years In Experience At Downtown New York Mbelezzz.
What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.
Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.
Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
Katoa Jana RIPWale chawa wa CCM Leo mtagawayika tena, team le mutuz hahaahah CCM Wana ukichaa flaniView attachment 2621194
MademuSorry hivo mabebez ni nini?
Una ushahidi ?COVID is around watanzania tumezoea kufanya Siri haya ndio matokeo yake ugonjwa bado upo watawala wa Tanzania wamezoea kuficha kila kitu,vaa barakoa
Itakuwa ulikuwa unazipigia FAP FAP FAP !!!Nilikua napenda zile post zake na mabebez
Boma yeeee.Ila imenisikitisha sijui.wanae watajisikiaje?Hope watakuja kumzika Baba yao.Tuendelee kutafuta hela kama alivyokuwa anatuhusia
Vaa barakoa waafrika banaUna ushahidi ?
Hakika alikuwa kingMtu una matatizo ya moyo umeshaponyoka mara kadhaa hospitali kwa utaalamu wa madokta.
Umri umeenda, obese; halafu ukipata nafuu kidogo unarusha picha ukishusha breakfast white bread, mayai ya kukaanga kama matatu, siagi, sausage, maharage na chai ya maziwa juu. It was coming.
R.I.P king of all of bongo social media, personal nitamiss post zake za maisha zilikuwa fikirishi sana kwangu au unapata la kujifunza hasa kuhusu tabia za watu wanaotuzunguka.
Ulale salama king of all bongo social media.
Changamoto ya upumuaji imerudi kwa kasiKwa hiyo ndio kusema tatizo la kupumua liko real?