babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huchelewi kusikia wamesema Our Pappa a humble man ever fight for us blaah blaa.Ni kawaida bongo ukifa unageuka malaika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huchelewi kusikia wamesema Our Pappa a humble man ever fight for us blaah blaa.Ni kawaida bongo ukifa unageuka malaika
Doctor wake huyu hapaNaona CD4 zilishuka .msi sahau kutumia dozy wahusika
Una uhakika na unachoongea?Naona CD4 zilishuka .msi sahau kutumia dozy wahusika
Nipo wewe si upo kimya bhanaUpo mkuu
Dah hizi njugu, boosters na minjingu ni nzuri ukitafuna ukiwa na 30s na 40s. Ukifisha 50s na 60s zinaelemewa overwhelmed.Heart attack
Hii sentensi yako tata mnoo rafiki. Unataka kusema?RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini 😭😭😭
si juzi tuh alitukanwa na mwanae
Maana yake ni Warembo au vimwana au vidosho au dogodogoSorry hivo mabebez ni nini?
Mzee Malecela ana mtihani wa kuamua William atamzika Dar. au atampeleka Mvumi?Pole sana kwa familia ya Mzee Malecela.
Corona ipi? Long term (1980s) ama short term (late 2019-2021)View attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
Hii sifa hii...Basi tu....Wengi wamejifunzia utukutu kwa huyu kiumbe ....Tukutana/ tusi/ kejeli,tena mtandaoni,utaambulia kicheko....hahaaaa! na utajibiwa kwa sitaha..jamaa alikuwa na uvumilivu sana May he RIP!
Field Marshall ES aka SamJapo JF inakataza kureveal Identity za watu, huyu enzi zile za Jamboforums si ndo alikuwa akijitambulisha kama Field Marshall SS?
Field Marshall ES. Alitupokea wengi hapa JF.Japo JF inakataza kureveal Identity za watu, huyu enzi zile za Jamboforums si ndo alikuwa akijitambulisha kama Field Marshall SS?
Kibajaji alipo anasheherekea. Wanoko wanadai jimbo la mtera lemutuz alikuwa alichukue 2025.Mzee Malecela ana mtihani wa kuamua William atamzika Dar. au atampeleka Mvumi?